Kodi ya biashara iko vipi Tanzania

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Nimefanya biashara ya vitenge kutoka Holland. Nilishirikiana na wenzangu mzigo ulishukia Ghana. Kwakuwa nilikuwa ninaanza, wateja walikuwa wananifuata nyumbani.

Nimewasiliana na kiwandani watakuwa wananitumia mzigo bandari ya Dar. Mzigo ni mkubwa, ni mpango wa kufungua duka la wholesale.

Nikishalipia mzigo bandarini na leseni ya duka, kuna kodi ya ziada?
 
Sky Eclat,
Kodi ipo ndio.. kuna IMPORT DUTY, TAX, VAT.. nafikiri ni zaidi ya hapo ila ngoja wataalamu wa mambo waje
 
Kodi ipo dukani,Kodi ya mapato na VAT Kama biashara kubwa,nijuavyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…