Nimefanikiwa kupata line ya mbao nzuri ambazo zimeshakuwa treated kutoka USA lakini sijajua kodi ya mbao kutoka nje ikoje Tanzania. Mbao najua ni ghali sana kwenye ujenzi na nilitaka nikipata mtu ambaye anapeleka kontena niweke mbao za kupaua. kama kuna mtu anajua nitapata wapi information za kodi za mbao naomba msaada