Wakuu nimehamia makazi mapya halufu ya chakula kizuri hunukia kutoka kwangu, na Kila ninaporudi kutoka kazini ckosi vpaseli.
Hadi kufikia leo hii nishaombwa namba yangu na weke za watu kama 6, nasubiliwa mm tu niliamshe shetani
Sent using
Jamii Forums mobile app