Kodi ya nyumba, Kodi kwenye mafuta, Kodi kwenye M-pesa, Kodi kwenye vocha za Simu. Huu uchumi ni watu kweli?

Kodi ya nyumba, Kodi kwenye mafuta, Kodi kwenye M-pesa, Kodi kwenye vocha za Simu. Huu uchumi ni watu kweli?

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Nimetafakali sana sina jibu.

Sasa hivi ukipata laki pesa ya kutumia ni kama Elfu therasini tu.

Nyingine inaishia kwenye Makato ya Vocha za Simu, hela ya kutumia na kutokea, kodi ya Mafuta, kodi ya Nyumba, VAT ya bidhaa n.k.

Tutafika kweli?

Kwà nini Serikali isingetumia rasilimali tulizonazo.

Ukweli ni kwamba tangu June ianze hadi Sasa hivi Hari si nzuri. Pesa imeluwa ngumu. Kuna kwangu mmoja anafanya biashara Sana Sana anaishia kiwakopesha tu wateja wake afu halipwi. Upepo wa pesa si mzuri. Leo alipoona Makato anajua kabisa hata wale wateja wa online watapungua Sasa.

Serikali hurumieni watu wenu.
 
Baadae inaibuka tena njemba kama kayafa inaaza oooh mimi mtetezi wenu nafuta tozo zote kwenye miamalla shenzi Ccm na kizazi chenu chote mmetufanya mazuzu watanzania ipo mitoto ya Lumumba kazi yao kushangilia kila kitu Katiba Katiba Katiba Katibaaaa Mpyaaa na Tume Hulu ya Uchaguzi
 
Nimetafakali Sana Sina jibu.

Sasa hivi ukipata laki pesa ya kutumia ni kama Elfu therasini tu...
Baada ya biashara za Kariakoo kufa kwa vigezo hawalipi kodi, nani alipe sasa? Hakuna nchi inayoendeshwa bila kodi. Tulipe kodi tuache kulalamika
 
Tulipe kodi bila shuruti na bila kujali tuko wapi na tunafanya nini. Tumezidi kuwa keyboard warriors. Kodi ya simu ni moja ya kodi muhimu kwa ujenzi wa Taifa letu. Isibezwe
 
Wafanyabiashara hawalipi kodi stahiki na pengo analifidia kwa kumkomba mtu wa kawaida!
 
Back
Top Bottom