cliff
Member
- Feb 7, 2008
- 21
- 32
Miye ni mjasirialmali mwenye hamu ya kujikwamua kiuchumi. Naomba kujua yafuatayo kuhusu kodi ya mabango ya matangazo ya biashara:
1. Ukiweka bango kwenye Barababa, kwa mfano ya Sirari - Mwanza linatozwa kodi na TARURA au na TANROADS? Nauliza kuhusu hizi taasisi mbili kwa vile inavyoelekea hili jukumu limeondolewa kwenye kwenye TRA(?).
2. Viwango vikoje kwa mfano kwa bango la 100x200cm?
3. Viwango hivi vimechapishwa/vimetangazwa mahali tupate links?
4. Je, ukiweka nje ya hifadhi ya barabara (yaani ndani ya eneo la kiwanja chako) napo unadaiwa kulilipia? Kiwango kikoje au ni kama hicho cha juu?
Natanguliza shukurani.
1. Ukiweka bango kwenye Barababa, kwa mfano ya Sirari - Mwanza linatozwa kodi na TARURA au na TANROADS? Nauliza kuhusu hizi taasisi mbili kwa vile inavyoelekea hili jukumu limeondolewa kwenye kwenye TRA(?).
2. Viwango vikoje kwa mfano kwa bango la 100x200cm?
3. Viwango hivi vimechapishwa/vimetangazwa mahali tupate links?
4. Je, ukiweka nje ya hifadhi ya barabara (yaani ndani ya eneo la kiwanja chako) napo unadaiwa kulilipia? Kiwango kikoje au ni kama hicho cha juu?
Natanguliza shukurani.