Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 2,025
- 1,270
Habari wana JF.
Naomba mnifungue macho kuhusu kulipa kodi kwa mkupuo na kulipa item kwa item. Mimi mdau katika hii biashara ya Suzuki carry ambapo ninalipa Income Tax kwa kila gari inayofikia Tshs. 318,000 kwa mwaka. Kuna mtu nimemsikia akisema kwamba kama kodi (Income Tax) itakadiriwa kwa magari yote kwa pamoja naweza kulipa kodi pungufu.Naomba kama kuna mtu ambaye anafahamu taratibu za kufuata ili kuweza kukadiriwa kodi kwa ujumla anielimishe.
Ahsante
Naomba mnifungue macho kuhusu kulipa kodi kwa mkupuo na kulipa item kwa item. Mimi mdau katika hii biashara ya Suzuki carry ambapo ninalipa Income Tax kwa kila gari inayofikia Tshs. 318,000 kwa mwaka. Kuna mtu nimemsikia akisema kwamba kama kodi (Income Tax) itakadiriwa kwa magari yote kwa pamoja naweza kulipa kodi pungufu.Naomba kama kuna mtu ambaye anafahamu taratibu za kufuata ili kuweza kukadiriwa kodi kwa ujumla anielimishe.
Ahsante