bro, kodi za magari inategemea na CC ya gari, mwaka wake wa first registration na vitu vingine. kwa gari ndogo ambayo haizidi miaka 10 from the first registration yenye CC 2000 au chini ya hapo kodi yake ni kama ifuatavyo. unachukua CIF price ya gari kisha unazidisha na import duty (20%) + VAT (25%) + 5% ambayo huwa ni registration ya gari. but iwapo gari yako itakuwa zaidi ya miaka kumi na ina zaidi ya CC2000 kodi yake itakuwa
20% + 25% + 5% + excess duty (25%) + uchakavu 20%
NB: kodi zetu huwa zinachange kila baada ya muda mfupi mfano kwa sasa nasikia vat ni 18% kutoka 25%.
mabasi na gari za mizigo hazina excess duty wala kodi ya uchakavu.
gd day
Ni kweli VAT imebadilika ilikua 20% sasa ni 18%.
ila wadau niliagiza gari kutoka japan kule nilinunua $1540 lakini ilivyofika hapa watu wa Custom wakaiambia haiwezekani ile gari iwe bei ile wakaniambia bei yao wanayoitambua ni $3500 iliniuma sana ila sikuwa na jinsi ikabidi nilipie tu, so ndugu amoeba be muangarifu
ila wadau niliagiza gari kutoka japan kule nilinunua $1540 lakini ilivyofika hapa watu wa Custom wakaiambia haiwezekani ile gari iwe bei ile wakaniambia bei yao wanayoitambua ni $3500 iliniuma sana ila sikuwa na jinsi ikabidi nilipie tu, so ndugu amoeba be muangarifu
salaaam waku! bila kuisahau mizimu ya mababu inayowezesha uwanja huu
kuendelea kkufanya kazi. naulizeni hiv, nikiagiza gari toka japani, ni kodi zipi na kwa percent ngapi ambaazo zitanipasa kulipa mpaka kukfikia kuliweka barabarani. pia kuna tetesi kuwa waalimu wanasamehewa baadhi ya kodi wakiagiza magari, mke wangu ni mwl. mwenye uhakika na hilo anipe details hapa kwa faida ya wote.
Hakuna utaratibu kamili ya kodi ya kuingiza bidhaa nchini. Unatakiwa uongee vizuri na afisa yeyote wa kodi ya forodha.
bro, kodi za magari inategemea na CC ya gari, mwaka wake wa first registration na vitu vingine. kwa gari ndogo ambayo haizidi miaka 10 from the first registration yenye CC 2000 au chini ya hapo kodi yake ni kama ifuatavyo. unachukua CIF price ya gari kisha unazidisha na import duty (20%) + VAT (25%) + 5% ambayo huwa ni registration ya gari. but iwapo gari yako itakuwa zaidi ya miaka kumi na ina zaidi ya CC2000 kodi yake itakuwa
20% + 25% + 5% + excess duty (25%) + uchakavu 20%
NB: kodi zetu huwa zinachange kila baada ya muda mfupi mfano kwa sasa nasikia vat ni 18% kutoka 25%.
mabasi na gari za mizigo hazina excess duty wala kodi ya uchakavu.
gd day
Wakubwa nashukuru kwa ufafanuzi japo sie aliyeuliza, ila nkuwa na tatizo la kujua mchanganuo huu wa kodi
Inakuwaje kama gari likipitia bandari ya mombasa mpaka mpakani kwetu pale horohoro nafikiri sina uhakika panaitwaje! Kuna mtu mwenye uzoefu na ili? Kunatakiwa taratibu gani?