Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
A 20w at 0.05% THD will sound better zaidi ya hizo twita za hio subNiliochukua Mimi ni KODTEC KT 2913.
Specifications:
•Power distribution 25 Watt x 2 +100 Watt RMS =150 watts RMS.
(1 bass woofer 100 watts RMS and
satellites speakers 25 watts rms@X2 = 50 Watts RMS that makes a total of 150watts RMS)
•Harmonic distortion 1% 1 Watt 1kHz
•Frequency range 30Hz - 20kHz
•Signal/Noise ratio 72dB
•Separation 50 dB
•Sensitivity 380mV
•Nominal Impedance 4ohms bass,
4ohms satellite
•Built In USB & Card Reader
It's the matter of wiring,
Subs are connected at the right side of an amplifier, where
Two (2) subs are connected at 2 ohms separately.
1 sub is connected at 4 ohm bridged from an amplifier output.
Mids and Tweeters are connected at the left side of an amplifier.
You Get it.?
Hio surround unapataje Kama mids natwita zinapigwa na channel mojaBut mind you,
Pioneer ukiifunga vizuri aseeh hizi mashine ni NY*k aseeh ,
Nimeamza kupumguza wageni ndani kila mtu anataka kuja kuangalia kitu kinachotikisa ardhi ni Nini alafu mids 3 na tweeter nazo ziko nne zinapiga sorround crisp flan hatari , kiukwel sijawai kujutia sauti ya car system that's why is so expensive,
Na Kuna sauti flani Huwa ni nzito saana kiasi kwamba lazima ufunge mlango wa chumba ukausikilizie Kwa nje ndo utauvumilia, .
But nowadays nimepunguza kusikiliza sauti kubwa za bass , naskiliza just for normal volumes .
Kawaida hata zikizidiana watts Mara mbili huwezi ona tofauti kwa masikioNakujibu kama ifuatavyo,
Kodtec kt 2913 uliyoanza nayo juu
Ina ,150 watts RMS (woofer 100rms+25watts x2=50rms watts satellites)
•Output power 150 Watt RMS
maana yake ni;
(Power distribution 25 Watt x 2 +100 Watt RMS
•Harmonic distortion 1% 1 Watt 1kHz
•Frequency range 30Hz - 20kHz
•Signal/Noise ratio 72dB
•Separation 50 dB
•Sensitivity 380mV
•Nominal Impedance 4ohms bass/4ohms satellite
Nakuja kwenye kodtec kt 2912 ya chini.
Hii Ina
- RMS:150W+50Wx2=250W(
woofer Ina 150rms afu satellites zina 50watts x2=100 =250 watts RMS
Dimension; Subwoofer:W313*H451*D464
- Driver: 8 inches+(4inches+2inches)*2
- Impedance: 4Ω
- S/N Ratio: 65dB
- Frequency Response: 30Hz~20kHz
Satellite Speaker: W140*H252*D210
TOFAUTI HAPO NI WATTS NA S/N DB
i.2912 ANA 250WATTS RMS KAMZIDI 2913 MWENYE 150 WATTS RMS
ii. 2913 ANA 72DB, KAMZIDI 2912 DB 65DB.
KWAIO NI MAAMUZI YAKO KUAMUA NA NDO MAANA ULIPOSIKIZISHWA ZOTE HAZIKUONYESHA TOFAUTI,.
Tofautisha mtu anatangaza rms na pmp0Bado Naomba ufafanuzi sony dz350 sub woofer 165w na speakers zake tano kila moja ni 167w iyo kodtec sub woofer ni150w na speakers zake mbili zote ni 100w ambayo mnaisifia sasa hapo inakuaje kodtec hamzidi sony dz350?
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
12v 10A kwa 80kWazee kuna power supply ya kodtec watts 120 , volts 12 mpya inauzwa kama unaiitaji nitext 0783715243
Bei ni 80k Iko good condition Bado ni mpya
hii bass inayosikikaga hpa kidimbwi pub -moshi mjini stand kubwa
huwa inaninyima usingizi aiseeee
halafu wahudumu hawatak mtaja hta meneja niuulizie hyo bass ni aina gani[emoji3064][emoji3064]
Hio Ni Kama radio za piki piki yenye manjonjo tone control ,display nk humo ndani tegemea kukuta ki tda7379,7377 au 7297Wakuu oneni hichi kunakitu kweli, kwa geto kutakuwa na dep bass.View attachment 2631224View attachment 2631228
Mids za kodtec Ni 25w at 1% THD ..hichi kidude kina nguvu zaidi ya IC inayoendesha mids kwenye kodtecWakuu oneni hichi kunakitu kweli, kwa geto kutakuwa na dep bass.View attachment 2631224View attachment 2631228
picha zako zimetumika huko kwnye biashara ya mtu
hebu sema unamfahamu hyo mfanyabiashara? na ni kweli hzo system ulichukua kwake??View attachment 2631464View attachment 2631467View attachment 2631468
Mkuu hio inapiga spika za twita tu ..kuhusu sabufa unatakiwa uwe na amplifier ingine kwa ajili ya kupiga sabufa ...yani uwe na active subwooferKwa unavyo ona kanaweza. Kuziacha sabwofer nying?
Kama kilicho andikwa Ni sahihi kulingana na Bei yake.
Una safari ndefu sanaDuh! sasa hiyo ,w1600 sindo uwezo wenyewe, kuna njia nne za speakers na whoofer moja, bado huoni kitu mkuu.
Nilikua natumia Panasonic hii mkuu, wahuni wakaiteketeza nibakia na speaker tu, ziko stoo, ndo ninataka amplifier itakayo nipa ladha View attachment 2631675
Leo bhana si nikaotea floor standing ya mjerumani
aloo wazee jamaa wa sound stage asipuuzwe aloo nimezitest hapo sound ni very cleannnnn yaani acha, sio kwamba zina mziki mkubwaaaa hapana ila sauti imechujwa vibaya mnooooo
yaani kiukweli clarity yke hyo kodtec ni tupa huko
ina bass nzuri, tweeter and mid bass viko clear sana sio kubwa kivile ila ni nzuri
so hpo nimeunga hpo na bufa la kodtec
ni pumbu tu zinacheza daaaah
sound over all naipa rate ya 7/10.
View attachment 2674547
😃😃 Sina ujuzi mkuu, nilifikiri kilicho andikwa Kama Ni sahihi, inaonesha ili upate amplifier nzuri kuna hesabu zake, tofauti na zamchinaUna safari ndefu sana
Me hivo vitu bila kufungua ndani specs zake tu naweza kuka judge
Hicho kidude kina version mbili iko yenye 2ch na 4ch yenye extra sub port ..hapa inatoa signal tu kuelekea kwenye amp ya bass
Kabisa mkuu ndo maana wengi wanaziaribu saana amplifier bila kuwa na ujuzi wa kuzipangilia kuanzia power Hadi wiring connections😃😃 Sina ujuzi mkuu, nilifikiri kilicho andikwa Kama Ni sahihi, inaonesha ili upate amplifier nzuri kuna hesabu zake, tofauti na zamchina
Aise mchina si mtu mziriHio Ni Kama radio za piki piki yenye manjonjo tone control ,display nk humo ndani tegemea kukuta ki tda7379,7377 au 7297
Ni kazuri kwa speaker ndogo 10 to 30w
Unapata stereo nzuri tu
Hawa watu, unawaweka kwenye mwavuli mmoja. Unawapa mtaji wa kutoleee product line yako.kibongo bongo rank yangu ya watu wa kuunda music systems iko hivi
1. Ras wa Arusha
2. Transistor
3. Wicalu
4. Kelphin