Hahahah mie sikufichi, we pita kwenye stores zao Pale Mlimani City hakikisha una playlist yako freshi then Omba kutestiwa hiko kinu πππ kwanza. Bank hazipo mbali pale utaenda tu mwenyewe kaka kuchomoa noti!Mwanangu umenipa moto mpaka nawaza nikavamie benki nisepe na minoti nikaunyake huo mzigo
Hahahah mie sikufichi, we pita kwenye stores zao Pale Mlimani City hakikisha una playlist yako freshi then Omba kutestiwa hiko kinu [emoji23][emoji23][emoji23] kwanza. Bank hazipo mbali pale utaenda tu mwenyewe kaka kuchomoa noti!
Design 10/10
Pure Sound 10/10
Kamlilie Mshua tu
Hahahah kama una hela ya kutosha unaweza chukua ile option. Ila kama hela ya kuunga unga hii ni Quick Solution. Uzuri ni kuwa hili li subs unaweza kuliunga na Amp kupitia Pre-amp likaendelea kukupa burudani maana ni li Active subwoofer. Pamoja na zile floor standing kwa hapo baadae.Duuuuuh aiseee ya 10/10 daaaah sio poa
Nilishapnga nijilipue na floor standing speakers ya yamaha kwa yule jamaa yako wa boko sasa nasema najivua nguo[emoji16]
Gharama yake ikoje.. isijekulinganishwa na home theatreYeah Clarity ipo, siwezi kuisemea sana kwa sababu alinitestia na manyimbo ya kibongo ya wasafi yale with some Nigerian pop!Simu yangu niliacha ndani ya gari parking so sikuwa na pairing device nikatumia ya muuzaji pale pale.
Ila its clarity is audible mpaka nilimwambia apunguze kidogo mchicha. Mi huwa sipendi mziki wenye mids kali, napenda Bass na highs ziwe juu kidogo na balanced.
Ila kwenye bass department that thing did an exceptional job! Japo nyimbo zilikuwa mbaya ile they sounded great. Haina Flat bass kama misabufa mingine ya kichina ile ya boombass tu! Nafikiri ndio maana wameweka speaker za aina 2 tofauti ku cover Lowest Bass Notes na Mid Bass notes! Kwahivyo unapata full dynamic bass effects.
Hamna mkuu ina range kwenye 300-400K! Kulingana na wapi utainunua.Gharama yake ikoje.. isijekulinganishwa na home theatre
Ila babu kuna sea piano toleo flan iv pind zinatoka nazan walikua wanatoa very quality products.. me naitumia mpaka leo toka 2016 ki ukwel ina sound balaaa una equalize pia hata kwa wale wanaotumia Samsung ukijua kuset ni balaaa.. mzk wa 170.. mwaka wa 6 ninao na haujakoroma na sound me ndo mahali pakeMkuu naona umeamua kuwa wakala wa kodtec music maana naona unafanya promo kwa nguvu sana.
Kusema ukweli hapo hamna mziki zaidi ya kelele tu, yaani ni sawa na Sea Piano baada ya mwaka au miezi itaanza kukoroma.
Boss kama nakuelewa iv unachomwambia jamaa....Hapana sikushawishi kununua, nachotaka kusema ni kuwa jamaa wamefanya kitu kizuri mzee sababu miongoni mwa 2.1 Subwoofers nilizowahi kukutana nazo this is the best engineered and gives pure music sound
Ze dudu kama ze dudu ninaemjua mim.. mzee wa totoz au.. mzee wa kjMi ninayo ya pinetech aiseee 80 tu sina makuu
Yah, mi niko neutral ila najaribu kuelezea experience yangu tu sababu napenda mziki hamna mfano na pia nina sikio la kujua mziki wa kiwango na mziki wa kijinga.Boss kama nakuelewa iv unachomwambia jamaa....
Hii bei ikoje?Still hyo rising is the best to me,kwa sisi wenye low budget.ina sound nzuri sana.View attachment 1702468
Wangu nilinunua 2014 hadi leo upo! Sea piano nalia ngoma chumbani kwangu. Jamaa ameamua Diss asichokijua.Ila babu kuna sea piano toleo flan iv pind zinatoka nazan walikua wanatoa very quality products.. me naitumia mpaka leo toka 2016 ki ukwel ina sound balaaa una equalize pia hata kwa wale wanaotumia Samsung ukijua kuset ni balaaa.. mzk wa 170.. mwaka wa 6 ninao na haujakoroma na sound me ndo mahali pake
Ulipoulizia bei yake inasimama kwenye Tzs ngapi?Mtambo ni kama unavyoonekana hapo chini!
View attachment 1698249
Balaa lake hilo mwamuzi maskio yako! Muuzaji alinishauri nisinunue kama nimepanga πππ
Ila huo mtambo kaka umekaa kichina china sanaBei ya Mlimani wanaanza 450K ila kwa 400K unabeba mali. Ila kwa Kariakoo bei inaweza kuwa chini kidogo ya hizo.
Kuna hii kitu nailia timing,bei yake haijaachana sana na hiyo kodtech,kama unanishawishi vile niende kwenye kodtech sema muonekano wake tu π€£Bei ya Mlimani wanaanza 450K ila kwa 400K unabeba mali. Ila kwa Kariakoo bei inaweza kuwa chini kidogo ya hizo.
Acha tutaleta mrejesho zaidi.
Kuna hii kitu nailia timing,bei yake haijaachana sana na hiyo kodtech,kama unanishawishi vile niende kwenye kodtech sema muonekano wake tu π€£
Hii ni "M" katika Conversion + kodi+ shipping. Kama una hio hela agiza JBL tu. Usihangaike na cheap alternatives.nekano wake tu π€£