Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Minister of National Guidance and Religious affairs , Rev.Godfridah Sumail told the media that Koffie Olomide will be arrested if he showed up the shows he has been invited for in Zambia .
Source : Mwebantu . com
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba sababu kubwa ya serikali ya Zambia kuchukua uamuzi huo ni kutokana na kitendo cha Koffie kumtandika makofi mcheza show wake jukwaani alipotumbuiza Zambia miaka ya nyuma , kitendo kilichotafsiriwa kama unyanyasaji .
Show za Koffie zilipangwa kupigwa tarehe 27 July Banquate Hall - Lusaka na tarehe 28 July Mindolo Hall - Kitwe.
Mipango yote ilikamilika na tayari ninayo tiketi ya onyesho la Lusaka , ni nani atanirudishia Hela yangu pamoja na tiketi ya ndege ?
Source : Mwebantu . com
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba sababu kubwa ya serikali ya Zambia kuchukua uamuzi huo ni kutokana na kitendo cha Koffie kumtandika makofi mcheza show wake jukwaani alipotumbuiza Zambia miaka ya nyuma , kitendo kilichotafsiriwa kama unyanyasaji .
Show za Koffie zilipangwa kupigwa tarehe 27 July Banquate Hall - Lusaka na tarehe 28 July Mindolo Hall - Kitwe.
Mipango yote ilikamilika na tayari ninayo tiketi ya onyesho la Lusaka , ni nani atanirudishia Hela yangu pamoja na tiketi ya ndege ?