namba ya mwisho kulia ndo unaanza kuiandika kwenye jibu. kwa kua jibu linatakiwe liwe na namba mbili basi namba ya pili unaipata kwa kujumulisha namba tatu ulizo pewa.
mfano:
113= unachukua namba ya mwisho ndo ianze kwenye jibu yaani 3.
halafu namba ya pili unaipata kwa kujumulisha namba ulizo pewa yaani 1+1+3=5
so hii tano unaiweka nyuma ya 3 jibu linakua 35.
So katka swali tulilopewa la 117 jibu ni 79. mia