Wewe unataka source ya nini? Wakati anabwabwaja Try Again, wewe ulikuwa wapi?Source? Trust me bro.
Yule kocha aliewaita nyani amewashika pabaya, hawawezi kusajiliKolo aka mbumbumbu fc sijui ni lini watakuwa makini na usajili. Kila msimu ukitia ndani msimu huu, wameendelea kusajili magarasa tu. Sasa hivi wanahangaika na Djuma Shaban, Yanini Bangaiza, na Lomalinda. Hivi vibabu vitawafikisha wapi nyie kolowizadi?
Aisee! Ghafla tu Lomalisa ameshakuwa kibabu kuliko Mkude? Si tulikubaliana kwamba Simba imejaza wazee na Yanga imejaza vijana? Si vijana wa Yanga wanakwenda Simba na wazee wa Simba wanakwenda Yanga sasa?Sasa hivi wanahangaika na Djuma Shaban, Yanini Bangaiza, na Lomalinda. Hivi vibabu vitawafikisha wapi nyie kolowizadi?