Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona makomandoo wa Urusi, Ukraine, Israel ambao wapo kwenye real battle hatuoni wakiwa wamebeba manatiNdio mkuu mfano upo poring unasikia njaa.
Si unawinda tu ndege.
Tatizo nyie vijana wa mjini mnaushamba flani hivi mnatuchosha mno na vijimaswali vyenu ambavyo kwa wale waliokulia shamba hawawezi uliza.
Mazingira ni tofauti.Mbona makomandoo wa Urusi, Ukraine, Israel ambao wapo kwenye real battle hatuoni wakiwa wamebeba manati
Mbona wale waumoja wa mataifa walioenda Congo na Monusco hatukuona hizo manati. Nahisi huyo jamaa alikuwa nasherehesha tu hizo manati sijui beleshi sidhani kama ni tactical. Kamanda anapaswa kubeba silaha muhimu zitakazo msaidia, sasa fire extinguisher, sufuria, sijui beleshi za nini? Alafu mbona sura ni zile zile za hao makomando au tunao wachache, au hao ni kwa ajili ya sherehe, unaweza kuta ni majamaa ya skauti tu.Mazingira ni tofauti.
Komando wa uarabuni sidhani atahitaji aina ya nyenzo kama wa Congo drc.
Maswali ya kijinga kabisa sasa kwani wewe hujui kazi ya fire extinguisher, sufuria na beleshi??Mbona wale waumoja wa mataifa walioenda Congo na Monusco hatukuona hizo manati. Nahisi huyo jamaa alikuwa nasherehesha tu hizo manati sijui beleshi sidhani kama ni tactical. Kamanda anapaswa kubeba silaha muhimu zitakazo msaidia, sasa fire extinguisher, sufuria, sijui beleshi za nini? Alafu mbona sura ni zile zile za hao makomando au tunao wachache, au hao ni kwa ajili ya sherehe, unaweza kuta ni majamaa ya skauti tu.
Good answer ..Mazingira ni tofauti.
Komando wa uarabuni sidhani atahitaji aina ya nyenzo kama wa Congo drc.
Anazimia nn kwenye mission, embu fafanua au ndo bongo movie jini anavua viatu mlangoni.Maswali ya kijinga kabisa sasa kwani wewe hujui kazi ya fire extinguisher, sufuria na beleshi??
Umewah kusikia stori kwamba moja ya mafunzo ni kuachwa porini kwa siku kadhaa na inatakiwa u survive?Anazimia nn kwenye mission, embu fafanua au ndo bongo movie jini anavua viatu mlangoni.
Vita ni taaluma pana vilevile, unapozungumzia issue ya SF ina vitu vingi mno, kuna moja ya zoezi la ku handle kukamata nyoka wakali especially anatumika sana cobra na kumuua na kunywa damu yake ukiachana na mapigano tu kuna namna ya kuishi na msitu (jungle survival) kwahiyo in reality kuna mengi achana na sinema.Mbona makomandoo wa Urusi, Ukraine, Israel ambao wapo kwenye real battle hatuoni wakiwa wamebeba manati.
Hakuna mapori kuleMbona makomandoo wa Urusi, Ukraine, Israel ambao wapo kwenye real battle hatuoni wakiwa wamebeba manati
Ungepita hta skauti TU usingeuliza swali hiliMbona wale waumoja wa mataifa walioenda Congo na Monusco hatukuona hizo manati. Nahisi huyo jamaa alikuwa nasherehesha tu hizo manati sijui beleshi sidhani kama ni tactical. Kamanda anapaswa kubeba silaha muhimu zitakazo msaidia, sasa fire extinguisher, sufuria, sijui beleshi za nini? Alafu mbona sura ni zile zile za hao makomando au tunao wachache, au hao ni kwa ajili ya sherehe, unaweza kuta ni majamaa ya skauti tu.
Sijaona alipohoji. Au unaota?Ningekupa maana ila ulichonikwaza umehoji kwa kukashifu.
Japo nikupe picha kidogo una uelewa gani na survival skills hasa katika jungle?
.moja ya zoezi la ku handle kukamata nyoka wakali especially anatumika sana cobra na kumuua na kunywa damu yake