Kombe la Cecafa Senior Challenge 2009


Kiongozi , wewe una guts sana aisee. Ningekuwa mimi nisingeweza kuitambulisha timu bovu kama lile kuwa ni li neshno tim la taifa langu. Ni aibu kinyama.

Kwa utambulisho kama huo nadhani sasa wataanza kukumulika hata na na wewe mazee..(kiddin')
 
Hadi mchezo unaisha Rwanda 2 vs Kilimanjaro Starz 1.

Mshindi wa tatu ni kati ya Kilimanjaro starz na Zanzibar starz zote za Tanzania.
 

Mr. Maximo ni Mheshimiwa. Akirudi atatetewa kwa nguvu zote na waheshimiwa wenzake na kuzawadiwa mkataba mpya.
 
kweli kabisa ndungu yangu maana niikuwa na google kutwa kutafuta website itayoonyesha game mpaka kufanikiwa...all the effort yangu ikaja kuwa aibu maana mpira tuliyocheza ilikuwa kichekesho, rafu na butua butua...tusubiri kucheza na ndugu zetu sasa..naona ubabe utazidi...
 
Kiongozi , wewe una guts sana aisee. Ningekuwa mimi nisingeweza kuitambulisha timu bovu kama lile kuwa ni li neshno tim la taifa langu. Ni aibu kinyama.

Kwa utambulisho kama huo nadhani sasa wataanza kukumulika hata na na wewe mazee..(kiddin')



hahahahaha!
 
Maximo kama anaakili ni vizuri akatangaza huko huko kujiuzulu kufundisha stars maana hana mafanikio!
 
Hadi mchezo unaisha Rwanda 2 vs Kilimanjaro Starz 1.

Mshindi wa tatu ni kati ya Kilimanjaro starz na Zanzibar starz zote za Tanzania.

Ngoja sasa tusikilize ngonjera za Maximo! Mhhhhhhhhhh ningekua mimi ningeanza taratiiiibu safari ya kuelekia home! lakini si mtu wa mkulu?????
 
Ngoja sasa tusikilize ngonjera za Maximo! Mhhhhhhhhhh ningekua mimi ningeanza taratiiiibu safari ya kuelekia home! lakini si mtu wa mkulu?????
teh teh teh...ngoja tusikilizie!
 
ndio mchezo wa mpira wa miguu ulivyo...
 
Maximo yeye hachezi, kazi yake ni kufundisha.Nanivizuri tutambue mpira ni professional kama zilivyo nyingine.Na hivyo basi maandalizi ya kila mwana taaluma huanza mapema kabisa na huchukua muda mwingi takribani miaka 14 na kuendelea ili mchezaji awe amejengeka kama zilivyo fani nyingine unaanzia chekechea, unaenda primary,secondary na baadae chuo kikuu na kuendelea. Wachezaji wetu wengi hawana msingi mzuri wa kimichezo kuanzia body physique,altitude,behaviour ,psychology n.k,hawajaandaliwa vizuri tangu mwanzo, Inakuwa vigumu kwa kocha kuwabadilisha watu wanamna hii na kuleta matokeo mazuri, hata umlete kocha gani? bado matokeo hayatakuwa yakuridhisha, hii haina tofauti na adult education ( Mtu unakuja kufundisha vizuri ukubwani wakati huna msingi mzuri utotoni). Nivizuri tuangalie kwa mapana sio tu kumwangalia kocha tu, chamsingi tuandae watoto wetu kwa matokeo mazuri ya baadae.
 
teh teh teh...ngoja tusikilizie!

Pape,

Vijana wamezoea Capet la pale Karume, au pale Neshno la zamani na pia wanja jipya so kwakweli tumeshindwa kucheza vizuri kwa sababu uwanja ulikuwa mbaya!
 
maurinho ilimchukua miaka mingapi kuipata ubingwa chelsea?
hidink amekaa muda gani chelsea?kifupi maximo sio kocha.tizama kocha wa simba phiri alivyoibadilisha simba au kocha huyu wa yanga utaona kazi anavyoijua.
 
Ngoja sasa tusikilize ngonjera za Maximo! Mhhhhhhhhhh ningekua mimi ningeanza taratiiiibu safari ya kuelekia home! lakini si mtu wa mkulu?????

Hapo kwenye reddish ndio ulipo mzizi wa tatizo.

Haiwezekani tukawa watu wasiotumia akili kwa kiasi hiki. Kocha alitakiwa awe anaripoti kwa TFF, na TFF ndio waliotakiwa wawe wanamlipa tangia mwanzo. Lakini kwa sababu taifa hili halina utaratibu wa kutumia akili, Maximo alikuwa akilipwa kwingine na kuripoti kwingine na haya ndo matokeo ya kutotumia akili.
 
kama mlipata nafasi ya kuuona mchezo wa jana,
ijana wetu hawana adabu(nidhamu) hata kidogo na ndo kilichoikost timu yetu.

pili kocha aliteki simpo sana kipiondi cha kwanza kuwa kumtegemea adebayo, watu wa maana wakawa nje
 
ataunda timu mpya ambayo atadai ni ya vijana zaidi na inayoweza kuichezea tanzania kwa muda mrefu
 
maurinho ilimchukua miaka mingapi kuipata ubingwa chelsea?
hidink amekaa muda gani chelsea?kifupi maximo sio kocha.tizama kocha wa simba phiri alivyoibadilisha simba au kocha huyu wa yanga utaona kazi anavyoijua.

mkuu angalia hizo ni club ambazo wako huru kuchukua mchezaji yeyote mzuri duniani na kumtumia , lakini hizi timu za taifa ni nooma maana kama huna wachezaji wazuri wa kwako umekwisha ,kweli maanzalizi yaanzie toka utotoni ,maximo sio big deal hata aje nani inaweza kuwa taabu ,
 
kweli Wadanganyika mambumbumbu
Hivi kama angelichukuwa watoto wa shule pale alipofika Danganyika mpaka hii leo si tungeliona kweli ana nia ya kuunda timu ya maana lakini kila leo anabadilisha timu eti nidhamu kwani tupo jeshini hapa au uraiani,
aliporudi kutoka safari ya karibuni alituahidi kuwa tutaiona timu katika mashindano haya tutarudi ni kikombe sijuwi cha chai jaba au vipi, huyu hana mpya
Kama ana nia aunde timu katika michezo ya shule sasa na tuone mwaka mmoja tu kama anaweza kubadilisha
 
Habari za uhakika nilizopata hivi punde leo Maximo ameweza kuiandikia timu ya taifa historia nyingine
ya kufungwa na Zanzibar!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…