Muhasibu "OKWIBOBANSUNZU" anawapatia gundu kila kukicha Makolokolo na bado mnakazaga mafuvu kumwona ndiye role model wenu [emoji2]Ww ndo huwa unawapa gundu Yanga...
Hivi humu huwa kuna marole model ee..kwahyo humu ma role model wenu ni Labani og na kwishaMuhasibu "OKWIBOBANSUNZU" anawapatia gundu kila kukicha Makolokolo na bado mnakazaga mafuvu kumwona ndiye role model wenu [emoji2]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
ilo picha lako la kweny id yako linasadifu akili yako ilivyo kweny Robo ya msimu huu timu tano zishacheza fainaili Asec,Tp mazembe. mamelod,ES Tunis,Ahaly kwahyo wew kwa akili yako ao watano wasicheze fainaili afu vyura mfike fainaili mnaota nyinyiMashabiki wa yanga pigeni kelele na vigeregere
Kombe la msimu huu ni lenu
Msimu huu kuna maajabu ambayo Mashabiki wa mpira barani africa watashangaa
Kifupi tu timu ambazo wengi walizoea kuona zikicheza final ya club bingwa hakuna hata moja itafika final ya club bingwa
Amen amen yanga wachukue kombe!!