Kombe la dunia kwa ngazi ya vilabu kuanza mwaka 2025

Ni jambo zuri. Ila kwa ngazi ya vilabu timu 32 ni chache. Nafasi zitakuwa chache mno na ushindani utakuwa wa mkubwa sana.

Kwa mfano kombe la dunia la timu za taifa lenye washindani 32 kwa Africa tumeingiza timu nne tu.

Niambie kombe la dunia la vilabu mambo yatakuwaje.
 
Hili simba lazima twende πŸ˜€ πŸ˜€
Antonnia
 
Afrika Timu 5
 
Timu chache zenye ubora sio kijaza timu za kwenda kufungwa goli 5 , wasi wasi ni mda upo?
 
Bujibuji World Championships
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…