Kombe la Dunia linaanza Nov 20, 2022 lakini Tanzania umeme hakuna

Kombe la Dunia linaanza Nov 20, 2022 lakini Tanzania umeme hakuna

john issa

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2017
Posts
856
Reaction score
1,638
Poleni na tabu za kuishi bila umeme na maji Tanzania!

Ndugu zangu, kwa mara ya kwanza kombe la dunia linanikuta sio mwanafunzi, naishi kwangu na kazi nzuri, na niko na utulivu angalau. Nilitamani sana niangalie hili kombe kwa furaha na utulivu sana.

Nikiwaza umeme unavokatika muda mwingi kuliko muda ambao unakuwepo FURAHA INANIISHA GHAFLA NA NAJIKUTA NAJUTIA KUISHI Bongo. Nataman ningekuwa nimejenga , ningenunua ata solar power.

Kama makamba yuko humu, ajitahidi umeme asikate hiki kipindi, bhanaaa.... Kombe likiisha aendelee na mchezo wake.

Tatizo dogo tunashindwa kutatua duuuuu
 
TBC taifa bureeee
"Tunaomba radhi mpendwa mtazamaji kwa kukatisha matangazo ya mojakwamoja kutoka katika uwanja wa dohar nchini Qatar ili kuiunga na mtangazaji wetu.

Kutoka katika ofisi za mkuu wa mkoa wa Tanga katika kipindi maalum cha ijue tangawizi na faida zake kilichoandaliwa na baraza la sanaa la taifa chini ya usimamizi wa wizara ya fedha na mawasiliano zikiongozwa na wizara ya utamaduni na sanaa."

Hivyo ndivyo tbccm watakavyokuwa wakifanya hasa kunapokuwa na mechi muhimu
 
Poleni na tabu za kuishi bila umeme na maji Tanzania!

Ndugu zangu, kwa mara ya kwanza kombe la dunia linanikuta sio mwanafunzi, naishi kwangu na kazi nzuri, na niko na utulivu angalau. Nilitamani sana niangalie hili kombe kwa furaha na utulivu sana...
Mwambieni Kipara arudishe umeme

Tuangalie Kombe
 
Jm
"Tunaomba radhi mpendwa mtazamaji kwa kukatisha matangazo ya mojakwamoja kutoka katika uwanja wa dohar nchini Qatar ili kuiunga na mtangazaji wetu.

Kutoka katika ofisi za mkuu wa mkoa wa Tanga katika kipindi maalum cha ijue tangawizi na faida zake kilichoandaliwa na baraza la sanaa la taifa chini ya usimamizi wa wizara ya fedha na mawasiliano zikiongozwa na wizara ya utamaduni na sanaa."

Hivyo ndivyo tbccm watakavyokuwa wakifanya hasa kunapokuwa na mechi muhimua

"Tunaomba radhi mpendwa mtazamaji kwa kukatisha matangazo ya mojakwamoja kutoka katika uwanja wa dohar nchini Qatar ili kuiunga na mtangazaji wetu.

Kutoka katika ofisi za mkuu wa mkoa wa Tanga katika kipindi maalum cha ijue tangawizi na faida zake kilichoandaliwa na baraza la sanaa la taifa chini ya usimamizi wa wizara ya fedha na mawasiliano zikiongozwa na wizara ya utamaduni na sanaa."

Hivyo ndivyo tbccm watakavyokuwa wakifanya hasa kunapokuwa na mechi muhimu
Nawapenda sana wanajamii forum, Huwa mnatoa majibu fulani hivi yanatoa uchovu na mawzo ta madeni
 
"Tunaomba radhi mpendwa mtazamaji kwa kukatisha matangazo ya mojakwamoja kutoka katika uwanja wa dohar nchini Qatar ili kuiunga na mtangazaji wetu.

Kutoka katika ofisi za mkuu wa mkoa wa Tanga katika kipindi maalum cha ijue tangawizi na faida zake kilichoandaliwa na baraza la sanaa la taifa chini ya usimamizi wa wizara ya fedha na mawasiliano zikiongozwa na wizara ya utamaduni na sanaa."

Hivyo ndivyo tbccm watakavyokuwa wakifanya hasa kunapokuwa na mechi muhimu
Mkuu chukua seven up fasta nalipa
 
Tangazo!! Nauza majenereta ya bei nafuu, wahi, kombe likianza bei inapanda.
 
Back
Top Bottom