Azam sidhani Dstv uhakika asilimia miaHivi wataonesha kwa channels gani hapa tz!?
Hizi za azam?
"Tunaomba radhi mpendwa mtazamaji kwa kukatisha matangazo ya mojakwamoja kutoka katika uwanja wa dohar nchini Qatar ili kuiunga na mtangazaji wetu.TBC taifa bureeee
Mwambieni Kipara arudishe umemePoleni na tabu za kuishi bila umeme na maji Tanzania!
Ndugu zangu, kwa mara ya kwanza kombe la dunia linanikuta sio mwanafunzi, naishi kwangu na kazi nzuri, na niko na utulivu angalau. Nilitamani sana niangalie hili kombe kwa furaha na utulivu sana...
Hahahha"Tunaomba radhi mpendwa mtazamaji kwa kukatisha matangazo ya mojakwamoja kutoka katika uwanja wa dohar nchini Qatar ili kuiunga na mtangazaji wetu...
Nchi ngumu hii, tunahangaika umeme hakuna wa kufanyia kazi Kuna wengine wanawaza umeme kuangalia kombe la dunia.Mwambieni Kipara arudishe umeme
Tuangalie Kombe
Cha muhimu umrme tu mkuu,kuhusu matumizi kila mtu atajipangiaNchi ngumu hii, tunahangaika umeme hakuna wa kufanyia kazi Kuna wengine wanawaza umeme kuangalia kombe la dunia.
Utafanya kazi mpaka unaenda motoni bila hata ya kuwa na burudani Mkuu...Nchi ngumu hii, tunahangaika umeme hakuna wa kufanyia kazi Kuna wengine wanawaza umeme kuangalia kombe la dunia.
"Tunaomba radhi mpendwa mtazamaji kwa kukatisha matangazo ya mojakwamoja kutoka katika uwanja wa dohar nchini Qatar ili kuiunga na mtangazaji wetu.
Kutoka katika ofisi za mkuu wa mkoa wa Tanga katika kipindi maalum cha ijue tangawizi na faida zake kilichoandaliwa na baraza la sanaa la taifa chini ya usimamizi wa wizara ya fedha na mawasiliano zikiongozwa na wizara ya utamaduni na sanaa."
Hivyo ndivyo tbccm watakavyokuwa wakifanya hasa kunapokuwa na mechi muhimua
Nawapenda sana wanajamii forum, Huwa mnatoa majibu fulani hivi yanatoa uchovu na mawzo ta madeni"Tunaomba radhi mpendwa mtazamaji kwa kukatisha matangazo ya mojakwamoja kutoka katika uwanja wa dohar nchini Qatar ili kuiunga na mtangazaji wetu.
Kutoka katika ofisi za mkuu wa mkoa wa Tanga katika kipindi maalum cha ijue tangawizi na faida zake kilichoandaliwa na baraza la sanaa la taifa chini ya usimamizi wa wizara ya fedha na mawasiliano zikiongozwa na wizara ya utamaduni na sanaa."
Hivyo ndivyo tbccm watakavyokuwa wakifanya hasa kunapokuwa na mechi muhimu
Mkuu chukua seven up fasta nalipa"Tunaomba radhi mpendwa mtazamaji kwa kukatisha matangazo ya mojakwamoja kutoka katika uwanja wa dohar nchini Qatar ili kuiunga na mtangazaji wetu.
Kutoka katika ofisi za mkuu wa mkoa wa Tanga katika kipindi maalum cha ijue tangawizi na faida zake kilichoandaliwa na baraza la sanaa la taifa chini ya usimamizi wa wizara ya fedha na mawasiliano zikiongozwa na wizara ya utamaduni na sanaa."
Hivyo ndivyo tbccm watakavyokuwa wakifanya hasa kunapokuwa na mechi muhimu