Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
natamani kama world-cup ingechezeshwa hata mwaka mzima.....
haka ndo ka-mwezi pekee kakuchelewa kurusi nyumbani kwa kizingizio cha NILIKUWA KWENYE BIG SCREEN
HEEEEY MY BRAAAAAA UTIIIINIIIIWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEENAAAAA!
legreeeeend maan shap shaaaaaaap!
Ndugu yenu nimeshapewa ruhusa ya kuchelewa kurudi,sijui watu wangu x-pin,next level,maskini jeuri,fidel,roya roy,kaizer,KIMEY,edson,D5,BAK,na wengineo
WITO MAALUMU:firstlady1,carmel,mwanajamiione,nyamayao,askofu,bht,js,charity et al naomba MUWAPE RUHUSA WAWEKEZAJI WAUNGANE NA WAWEKEZAJI WENZAO KWENYE MA-BIG SCREEN kwa ajili ya kushangiliaa WOOOOOZAAAA WOOOZAAAAA!hakuna mkakati wa kudumisha desturi NI MAMBO YA WELDI-CUP TU!
tunaanza leo sasa:SOUTH AFRICA VS MEXICO,then saa mbili hivi ni FRANCE VS URUGUAY
haka ndo ka-mwezi pekee kakuchelewa kurusi nyumbani kwa kizingizio cha NILIKUWA KWENYE BIG SCREEN
HEEEEY MY BRAAAAAA UTIIIINIIIIWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEENAAAAA!
legreeeeend maan shap shaaaaaaap!
Ndugu yenu nimeshapewa ruhusa ya kuchelewa kurudi,sijui watu wangu x-pin,next level,maskini jeuri,fidel,roya roy,kaizer,KIMEY,edson,D5,BAK,na wengineo
WITO MAALUMU:firstlady1,carmel,mwanajamiione,nyamayao,askofu,bht,js,charity et al naomba MUWAPE RUHUSA WAWEKEZAJI WAUNGANE NA WAWEKEZAJI WENZAO KWENYE MA-BIG SCREEN kwa ajili ya kushangiliaa WOOOOOZAAAA WOOOZAAAAA!hakuna mkakati wa kudumisha desturi NI MAMBO YA WELDI-CUP TU!
tunaanza leo sasa:SOUTH AFRICA VS MEXICO,then saa mbili hivi ni FRANCE VS URUGUAY