SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Wakati tumeingia duru la pili la msimu wa NBC mpaka sasa sijasikia mechi zozote zikipangwa au kuchezwa za FA Cup.
Ni kwamba msimu huu kombe halipo au kuna changamoto? Kama wana uhaba wa pesa au CRDB wanazingua waniambie tajiri niongeze mzigo. Msimu huu Simba hatutaki kuacha kitu mezani.
NYONGEZA (HAIHUSIANI NA MADA): Zamani mwenyeji wa mashindano huwa hachezi mechi za kufuzu, siku hizi mashindano mengi ya CAF kama AFCON, hadi mwenyeji anacheza mechi za kufuzu, ina maana mwenyeji anaweza asifuzu mashindano yanayofanyika katika nchi yake mwenyewe?
Ni kwamba msimu huu kombe halipo au kuna changamoto? Kama wana uhaba wa pesa au CRDB wanazingua waniambie tajiri niongeze mzigo. Msimu huu Simba hatutaki kuacha kitu mezani.
NYONGEZA (HAIHUSIANI NA MADA): Zamani mwenyeji wa mashindano huwa hachezi mechi za kufuzu, siku hizi mashindano mengi ya CAF kama AFCON, hadi mwenyeji anacheza mechi za kufuzu, ina maana mwenyeji anaweza asifuzu mashindano yanayofanyika katika nchi yake mwenyewe?