NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Mashabiki wa Simba sc walimuimba na kumkejeli Saidoo Ntibazonkiza kwa kusema kuwa umri wake umeenda na kusema kuwa ni "Babu".
Alipomaliza kandarasi Yanga sc alijiunga na Simba sc akitokea Geita Sc.
Nyimbo za kusema kuwa ni Babu zikaisha kabisa baada ya mshambuliaji Saidoo Ntibazonkiza kuchukua tuzo ya ufungaji Bora na zinginzezo.
Hakika Saidoo Ntibazonkiza ameiheshimisha Simba sc kwa kutwaa hata kombe (ufungaji Bora).
Hakuna shabiki/kiongozi ambaye atathubutu kuhoji umri wa Saidoo Ntibazonkiza kutokana na heshima kubwa aliyoileta msimbazi.
mpaka Sasa sijui ana miaka mingapi??
Alipomaliza kandarasi Yanga sc alijiunga na Simba sc akitokea Geita Sc.
Nyimbo za kusema kuwa ni Babu zikaisha kabisa baada ya mshambuliaji Saidoo Ntibazonkiza kuchukua tuzo ya ufungaji Bora na zinginzezo.
Hakika Saidoo Ntibazonkiza ameiheshimisha Simba sc kwa kutwaa hata kombe (ufungaji Bora).
Hakuna shabiki/kiongozi ambaye atathubutu kuhoji umri wa Saidoo Ntibazonkiza kutokana na heshima kubwa aliyoileta msimbazi.
mpaka Sasa sijui ana miaka mingapi??