Kombe la Ndondo Limetisha Kuliko la Ligi Kuu Bara

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258

mdhamini wa michuano ya ndondo cup, dk mwaka (kushoto) akimkabidhi kombe la ubingwa wa michuano hiyo, nahodha wa faru jeuri, buji selemani mara baada ya timu yake kuishinda kauzu fc, leo.
kombe hilo la ndondo cup, michuano maarufu ya mchangani kwa kipindi hiki ni zuri na kubwa na inawezekana lina thamani kubwa kuliko lile la ligi kuu tanzania bara, ambalo walikabidhiwa yanga pia lile la kagame ambalo walipewa azam fc kwenye michuano ya kombe la kagame. Jambo ambalo ni sawa na maajabu ya nane ya dunia.
 
ndondo cup noma sana. kwanza hongera kwa fauru jeuri
 
tuwekee picha mkuu
mkuu kule siendi na smrtphone maana hukawii kuiacha kwa vijana wa faru jeuri, naweka line kwenye kinokia tochi, ndondo haitaki ubishoo coz sometimes inabidi kujichanganya katikati ili kubambia watoto wa uswazi kupunguza stress za kwenye kazi za wahindi
 

Kuna kubambia tena Mkuu?? Sio mchezo aiseee
 

Mbona huyo policcm hapo pemben ana smart????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…