Siyo wabovu kihivyo,labda kwasababu Chirwa,Makapu na Yondani watakuwa wameshamaliza adhabu.Hata kipa wao kasema kabisa wana uhakika wa kusonga mbele.Mimi kinachoniogopesha kwa Yanga siku zote huwa wanadharau hizi timu ambazo hazina majinaWahamiaji haramu wamepigwa na kwao tunaenda kuwapiga nyingi
Hivi kwa uchezaji ule wa kupiga piga chenga zisizo productive na forward zile ndo zitaqualify?Siyo wabovu kihivyo,labda kwasababu Chirwa,Makapu na Yondani watakuwa wameshamaliza adhabu.Hata kipa wao kasema kabisa wana uhakika wa kusonga mbele.Mimi kinachoniogopesha kwa Yanga siku zote huwa wanadharau hizi timu ambazo hazina majina
Naiona mechi ngumu sana tukienda Ethiopia kama mpira wenyewe huu wanaocheza Yanga sijui.Mwalimu naona ana mbinu hafifu sana halafu mzito sana kufanya mabadiliko kwa wachezaji ambao hawako vizuri uwanjani
Hata mimi nimeliona hilo tatizo,halafu ni sugu kwa Yanga lakini kocha yupo na anaangalia tu.Kwa kifupi kwa mechi kama ya leo yanga kashinda lakini mimi mshabiki roho ilikuwa bado juu mpaka mpira ulivyoisha,na hata mechi ya marudiano sina imani kabisa kama anaweza kusonga mbele kwenye hatua ya makundichief wachezaji wa bongo hawajui kujiongeza wanacheza tu ilimradi mpira uishe...hebu ona kwa mfano beki wa pembeni au winga akipewa mpira anachowaza ni kupiga krosi tu! bila kujali wenzake wapo eneo la tukio au la! wakati alipaswa kuturn au kuchekecha ili kusubiri wenzake waingie ndani!. yaan wanacheza soka la kukariri mno creativity ni 0% hya achana na hilo tuje kwenye suala la kukaba wachezaji wa ditcha walikuwa wanaanza mpira kwa kipa wanapasiana mpk wanafka golini kwa yanga bila hta kupata upinzani, shukrani ziende kwa mabeki na kipa hii inamaanisha viungo wa yanga wanakaba kwa macho yaani mchezaji hta kupiga tackling au kumghasi mchezaji atoe pasi fyongo hawawezi.... mwisho wa siku wanawapa mzigo mkubwa mabeki, na hii iliwagharimu sana hta mechi dhidi ya township
Mtaalam kama wewe tuelezee wachezejeNaiona mechi ngumu sana tukienda Ethiopia kama mpira wenyewe huu wanaocheza Yanga sijui.Mwalimu naona ana mbinu hafifu sana halafu mzito sana kufanya mabadiliko kwa wachezaji ambao hawako vizuri uwanjani
Azam kaundwa mwaka gan?Hongereni watani kwa kuifunga timu kibonde, ambayo imeundwa mwaka 2009(siyo kupanda daraja).
Hata mimi nimeliona hilo tatizo,halafu ni sugu kwa Yanga lakini kocha yupo na anaangalia tu.Kwa kifupi kwa mechi kama ya leo yanga kashinda lakini mimi mshabiki roho ilikuwa bado juu mpaka mpira ulivyoisha,na hata mechi ya marudiano sina imani kabisa kama anaweza kusonga mbele kwenye hatua ya makundi
Mpaka muda huu nna uhakika hata nyumbani hujarudi Kwa hasira ulizonazoWelayta Dicha piga hao vyura fc
Shukrani mkuu. Nilikua kifungoni ndio maana sikuweza kushiriki. Ahsante kwa timu na wadau wote wa timu yetu pendwa Young Africans. Hakika tumeanza vizuri mashindano haya.
Kweli kabisa rafiki. Pole kwa yote.Shukrani mkuu. Nilikua kifungoni ndio maana sikuweza kushiriki. Ahsante kwa timu na wadau wote wa timu yetu pendwa Yozng Africans. Hakika tumeanza vizuri mashindano haya.
chief wachezaji wa bongo hawajui kujiongeza wanacheza tu ilimradi mpira uishe...hebu ona kwa mfano beki wa pembeni au winga akipewa mpira anachowaza ni kupiga krosi tu! bila kujali wenzake wapo eneo la tukio au la! wakati alipaswa kuturn au kuchekecha ili kusubiri wenzake waingie ndani!. yaan wanacheza soka la kukariri mno creativity ni 0% hya achana na hilo tuje kwenye suala la kukaba wachezaji wa ditcha walikuwa wanaanza mpira kwa kipa wanapasiana mpk wanafka golini kwa yanga bila hta kupata upinzani, shukrani ziende kwa mabeki na kipa hii inamaanisha viungo wa yanga wanakaba kwa macho yaani mchezaji hta kupiga tackling au kumghasi mchezaji atoe pasi fyongo hawawezi.... mwisho wa siku wanawapa mzigo mkubwa mabeki, na hii iliwagharimu sana hta mechi dhidi ya township
Kama tumeanza hivi. Naamini marudiano tunaenda kufanya vizuri bila shaka.Kweli kabisa rafiki. Pole kwa yote.
Tumeanza vizuri aisee. Sijui tena mechi ya narudiano itakuwaje?
Hivi huyu swahiba na mwanayanga mwenzangu yupo wapi siku hizi?bila kumsahau emmyta
Mi leo sitii neno nasubiria mechi ya marudiano maana mechi hiyo ndio muamuzi, ila kwa leo hongereniHapo sawa. Na wametukosa kosa hapa acha tu yaani.