Mkuu niko barabarani dakika zimebaki ngapi.?
Dakika ya 92 na add ni 4mnts mkuu
Asante sana mkuu
Shukrani kwa Danny Mrwanda....kweli we we ni Simba damu.
Kafanyaje Mrwanda
Mpira umekwisha mkuu
Asante sana mkuu tumepita japo kwa pressure
Dan Mrwanda kapata kadi nyekundu
Hongera Yanga ...
Timu gani itacheza nayo hatua inayofuata?
Asante sana mkuu tumepita japo kwa pressure
Ahsante Yanga tunasonga mbele...
Mambo princess??
Mkuu Mandla!Yanga watacheza na Zamaleck ya Misri mechi inayofuata...
Tuone sasa kama mtakuwa tena na kelele hapa JF.