Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Patashika ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika kuendelea kutimua vumbi leo February 21, 2021 kwenye uwanja wa Azam Complex, ambapo wenyeji CD De Agosto wanapambana na Namungo FC
===========
Namungo FC wakiwa ugenini kwa mujibu wa kanuni, wametakata vilivyo baada kuiadhibu bila huruma Cd de Agosto mabao sita kwa mawili katika mchezo uliofanyika kwenye uwanja wa Azam Complex
Mabao ya Namungo yakifungwa na Manyanya 32' Sabilo 38' 55' akifunga mabao mawili, Lusajo 59, Kwizera 68' na Stephen 71' Sey
Mchezo wa pili utafanyika siku ya Jumatano kwenye uwanja huo huo wa Azam Complex, Namungo FC wakiwa wenyeji ambapo Namungo FC wanahitaji sare tu kutinga makundi kombe la Shirikisho Afrika.
FT: Cd de Agosto 2-6 Namungo FC
===========
Namungo FC wakiwa ugenini kwa mujibu wa kanuni, wametakata vilivyo baada kuiadhibu bila huruma Cd de Agosto mabao sita kwa mawili katika mchezo uliofanyika kwenye uwanja wa Azam Complex
Mabao ya Namungo yakifungwa na Manyanya 32' Sabilo 38' 55' akifunga mabao mawili, Lusajo 59, Kwizera 68' na Stephen 71' Sey
Mchezo wa pili utafanyika siku ya Jumatano kwenye uwanja huo huo wa Azam Complex, Namungo FC wakiwa wenyeji ambapo Namungo FC wanahitaji sare tu kutinga makundi kombe la Shirikisho Afrika.
FT: Cd de Agosto 2-6 Namungo FC