Mashindano: Kombe la Shirikisho la CAF, Raundi ya 2, Mechi 1
Yanga Afrika vs Etoile Sportive du Sahel
Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Saa 10 Jioni
Mkuu Plesis ,ni kweli Telela yupo vizuri kwa sasa.But sidhani kama leo atakua fiti kucheza maana siku chache zilizopita nilisikia wanasema Telela ni mgonjwa so anaweza asicheze leo.Mkuu ni kweli kwamba kila mtu ana maoni yake ila namba 8 ya Young Africans aliyeiva saa hv na anayeibeba timu ni Telela"Abo Master" angefaa:; huyo Niyonzima arud kuwa winga; shida ya hapo ni kwamba kuna mchezaji atakuwa sacrifised kuwekwa benchi, huu ni mtazamo wangu
nauona mwisho wenu au tuwape okwi..
Aje. Tutampa kazi ya kugawa maji ya kunywa kwa wachezaji wetu.
Jaman TBC 2 watakuwepo uwanjani kuwaletea mtanange Wa kukata na shoka kati ya miamba ya Tanzania Dar young African, YANGA dhidi ya miamba ya Tunisia Etoile du Salehe kuanzia majira ya sasa kumi kamili jion, hii ni kwamujibu Wa kipindi cha michezo asubuhi TBC2. kwa pamoja twaweza YANGA DAIMA mbele nyuma MWIKO
Aje. Tutampa kazi ya kugawa maji ya kunywa kwa wachezaji wetu.
Jaman TBC 2 watakuwepo uwanjani kuwaletea mtanange Wa kukata na shoka kati ya miamba ya Tanzania Dar young African, YANGA dhidi ya miamba ya Tunisia Etoile du Salehe kuanzia majira ya sasa kumi kamili jion, hii ni kwamujibu Wa kipindi cha michezo asubuhi TBC2. kwa pamoja twaweza YANGA DAIMA mbele nyuma MWIKO
Manji aliahidi kutumia utajili wake wore kuhakikisha okwi hachezei Simba Mara nitaenda CAF, FIFA..kumbe mlikuwa mnataka aje kugawa maji....lol.....Leo mnapigwa na ninasema mpigwe tu maana mkishinda tutapata shida mtaani..