Aje. Tutampa kazi ya kugawa maji ya kunywa kwa wachezaji wetu.
Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaghhhhhhhh! Hawa Jamaa Wapuuzi Sana Mkuu. Kwanini Hawakusema Tokea Jana? Nimeshajikatia Tayari Tiketi Yangu Ya Buku Gwala. Wamenitia Hasara Kweli Kweli!
Nyie saizi yenu mgambo, mtasubiri sana.......
Hapa Ndipo Najiaminisha Umuhimu Wa Elimu Ya BRN Nchini Tanzania. Naomba Kujua Hiyo Timu Ya Etoile Du Salehe Ni Ya Kutoka Kijiji Chako Gani Hapa Duniani? Ninachojua Kuna Timu Iitwayo Etoile Du Sahel ( Nyota Ya Sahel Inayong'aa ). Tuepuke Sana Kuonyesha Udhaifu Wetu Wa Kimantiki Humu Mitandaoni Na Tuache Kukurupuka. Ni Ushauri Tu Lakini!
FT: Yanga 4-1 ESS
usiogope lipia buku(1000) yako tu kupitia m-pesa utaona tv yako sio kwa siku moja i think n 3, ila shida ni kwenye DSTV sijui ntaonea wapHivi tbc2 kuna vifurushi vya siku au wiki nilipie ili niangalie huu mtanange? Kweli nimeona michezo sio kipaumbele ktk nchi. Yani tv ya taifa kuangalia michezo nilipie ten?
Kikosi kinachoanza katika mchezo wa leo
Batez
Juma
Oscar
Yondani
Nadir
Twite
Dilunga
Haruna
Tambwe
Ngasa na Msuva
Kikosi kinachoanza katika mchezo wa leo
Batez
Juma
Oscar
Yondani
Nadir
Twite
Dilunga
Haruna
Tambwe
Ngasa na Msuva