Mechiawachezi hii. uwanja umejaamaji hatari
Mukishapata ushindi musije mkatulaza mapema.
Mungu ibariki tanzania , mungu ibariki yanga ......amen
Game imeisha huku kwa babu 2-1 tumeshinda.
Mpaka sasa tbc 2 sioni kitu
Yanga wakishinda nanunua jezi Yao, hata ka sio timu yangu
Hahahaaa! Tuongeze du'a jama.
Leo nina wakati mgumu sana, huku Yanga kule Arsenal!
πππ
Mpaka sasa tbc 2 sioni kitu
mimi si arsenal ila hapo mnashinda leo...kimbembe fainal wembley...muombee jamaa watutoe la sivyo lazma tulipize kisasi cha goli 4.
Mpaka sasa tbc 2 sioni kitu
Hahahaaa! Kisasi hakilipwi hivihivi. Hesabu goli nyingine 3-1.