Pre GE2025 Kombo wa CHADEMA aliyekuwa mahabusu kwa zaidi ya miezi 4 baada ya kunyimwa dhamana aachiwa kwa faini ya Tsh. 85,000!

Pre GE2025 Kombo wa CHADEMA aliyekuwa mahabusu kwa zaidi ya miezi 4 baada ya kunyimwa dhamana aachiwa kwa faini ya Tsh. 85,000!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kwahiyo lengo la serikali ilikuwa kumsumbua tu na kumhenyesha basi! Job true true!

1732119358685.png

Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Tanga, Kombo Mbwana aliyekuwa mahabusu kwa zaidi ya miezi minne baada ya Mahakama ya Wilaya ya Tanga kumnyima dhamana, amerejea uraiani kwa kulipa faini ya Sh85,000.

Kombo ambaye ni Ofisa Habari wa CHADEMA Mkoa wa Tanga alikuwa anakabiliwa na kesi ya jinai, katika Mahakama ya Wilaya ya Tanga.

Pia soma:
Katika kesi hiyo ya jinai namba 19759 ya mwaka 2024, Kombo alikuwa anakabiliwa na mashtaka matatu chini ya Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta.

Mwananchi
 

Attachments

  • 1732119298234.png
    1732119298234.png
    91.7 KB · Views: 4
Wakuu,

Kwahiyo lengo la serikali ilikuwa kumsumbua tu na kumhenyesha basi! Job true true!


Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Tanga, Kombo Mbwana aliyekuwa mahabusu kwa zaidi ya miezi minne baada ya Mahakama ya Wilaya ya Tanga kumnyima dhamana, amerejea uraiani kwa kulipa faini ya Sh85,000.

Kombo ambaye ni Ofisa Habari wa CHADEMA Mkoa wa Tanga alikuwa anakabiliwa na kesi ya jinai, katika Mahakama ya Wilaya ya Tanga.

Pia soma:
Katika kesi hiyo ya jinai namba 19759 ya mwaka 2024, Kombo alikuwa anakabiliwa na mashtaka matatu chini ya Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta.

Mwananchi
Ndio vyema madeleka na kibatala wamepambana!
 
Hatimaye amepatikana na hatia, na amelipa faini, amekuwa muungwana
 
Back
Top Bottom