kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,832
- 4,070
Huu mchezo ulikuwa na mambo yake kipindi hicho.
Nilijuta kwanini nilicheza kombolela na wakubwa walionizidi umri. Nikiwa na umri wa under 7,niliwahi kuondoka na mpira yakiwa ni maamuzi yangu ya mwisho baada ya kuwasaka waliojificha bila mafanikio. Kumbe wale jamaa walikuwa inpairs kama njiwa,kila mtu na wake. Nilikaa na mpira mpaka nilipoona bora niende zangu. Hawakuonekana tena mpaka giza limeanza ndo wakaanza kuonekana huku wakinilaumu eti sifai,siwezi kutafuta kumbe wao walienda kubebana. Nimekuja kuelewa picha baada ya kukua na mimi nikaona raha ya kujificha kusikojulikana na pair yangu.
Kombolela ina raha yake bhana.
Nilijuta kwanini nilicheza kombolela na wakubwa walionizidi umri. Nikiwa na umri wa under 7,niliwahi kuondoka na mpira yakiwa ni maamuzi yangu ya mwisho baada ya kuwasaka waliojificha bila mafanikio. Kumbe wale jamaa walikuwa inpairs kama njiwa,kila mtu na wake. Nilikaa na mpira mpaka nilipoona bora niende zangu. Hawakuonekana tena mpaka giza limeanza ndo wakaanza kuonekana huku wakinilaumu eti sifai,siwezi kutafuta kumbe wao walienda kubebana. Nimekuja kuelewa picha baada ya kukua na mimi nikaona raha ya kujificha kusikojulikana na pair yangu.
Kombolela ina raha yake bhana.