Kombora la drone kutoka ndege vita za IDF lasambaratisha gari maeneo ya Kusini mwa Lebanon

Kombora la drone kutoka ndege vita za IDF lasambaratisha gari maeneo ya Kusini mwa Lebanon

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau Hamjamboni nyote?

Haipoi hadi iishe na msako dhidi ya magaidi unaendelea kwa kasi ileile

Muda huu tayari IDF wameshafanya yao na aliyekusudiwa tayari kashatangulizwa mbele za haki

Niwatakie mchana mwema
 
Wadau Hamjamboni nyote?

Haipoi hadi iishe na msako dhidi ya magaidi unaendelea kwa kasi ileile

Muda huu tayari IDF wameshafanya yao na aliyekusudiwa tayari kashatangulizwa mbele za haki

Niwatakie mchana mwema
mkiristo weye watu hawkauamini unachoandika humu, washakushtukia. ni Propaganda wa dini
 
Huyo labda atakuwa ni yule gaidi anayeitwa Hassan Nasrallah wa kikundi cha kigaidi cha Hezbollah.
 
Wadau Hamjamboni nyote?

Haipoi hadi iishe na msako dhidi ya magaidi unaendelea kwa kasi ileile

Muda huu tayari IDF wameshafanya yao na aliyekusudiwa tayari kashatangulizwa mbele za haki

Niwatakie mchana mwema
Tuwekee source mkuu tupate kwa undani zaidi pls
 
Back
Top Bottom