Unataka kusema hata atm za bongo kama za buguruni mle zina hiyo provision ya usalama? Hongera kwa hii shule uliyotukatia.
Sasa pesa zikiyoka halfway si nitakuwa nimepoteza fedha hizo nitazipataje tena,na polisi wasipokuja kama unavyojua polisi wetu wa bongo itakuwaje,tuongezee shule zaidi.
Mbona hujanipa thanks, ama unanibania?
Unaomba thanks kwa Malila? Kwani hujaona amempa mmoja tu tangu ajiunge 2007?
Join Date: Sat Dec 2007
Posts: 303
Rep Power: 22
Thanks: 1
Thanked 147 Times in 86 Posts
Credits: 9,692
....basi nitwange wewe thanks Sin Kala
Hiyo hapo nishakutwanga. Ila kuna jamaa ameniPM eti anasema kule kwenye ile ya Invisible kukonyeza, eti huwa anamkonyeza shem wako Kelly, sasa sijui NN akilijua hili mambo yatakuwaje!!
when a thief forces you to take money from the atm, do not argue or resist, you might not know what he or she might do to you. What you should do is to punch your pin in the reverse, i.e. If your pin is 1254, you pounch 4521.the moment you punch in the reverse, the money will come out but will be stuck into the machine half way out and it will alert police without the notice of the thief. Every atm has it, it is specially made to signify danger and help.