Komputa inashindwa kusoma au kufungua faili zilizo kwenye PDF

Komputa inashindwa kusoma au kufungua faili zilizo kwenye PDF

mfianchi

Platinum Member
Joined
Jul 1, 2009
Posts
11,904
Reaction score
8,371
Wakulu naomba msaada naamini hapa kuna nguli wengi wa Tekohama mtanisaidia .hivi sasa komputa yangu inashindwa kutambua faili zilizo kwenye mfumo wa PDF ,hapo zamani nilikuwa naweza kufungua faili zilizo kwenye PDF bila nongwa,sasa ni siku ya nne hili tatizo la kushindwa kufunguka na mpaka sasa sijui nifanyeje,tafadhali naomba msaada
 
Ndugu Carthbelt na Jua kali natanguliza shukurani nitafanua hivyo
 
Back
Top Bottom