Kompyuta kicheche

hahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa< tehetehetehe............................., hadi copyuta haitaki vibamia, sasa wenye vibamia kwishney, itafikia hadi mikona nayo inakataa vibamia wakati wa m********B*********N
 
Nina dawa ya kugeuza bamia kuwa tangu.
Mwenye shida aseme
 
na angeandika pswd k ingeandika pswd too deep hahahaaaaaaaa
 
Mie ninayo ya kutengeneza madodoki,jichanje chale kwenye huyo jamaa yako kisha kachanje dodoki ambalo ni changa halafu changanya majimaji ya dodoki na damu ya huyo jamaa yako(unachukua kwenye dodoki unajipaka na unatoa kwako unapaka dodoki).Kila siku kagua lile dodoki hadi lifikie size uitakayo.Ukisahau kukagua itakula kwako maana laweza kukua hadi ikawa kero(kumbuka dodoki likikua jamaa naye anakua,unene na urefu).Ile size ikifika unalikata lile dodoki ili lisiendelee kukua."UWE MAKINI"
 
Jamani huku Tanga hata aliyezaa mara tisa anaweza kurudia ile bikra! karibuni sana
 
Mambo ya Kitanga sasa hayo.
Uchawi na majini, kupora waume wa watu na wanaume kuliwa uroda ndio zao
Jamani huku Tanga hata aliyezaa mara tisa anaweza kurudia ile bikra! karibuni sana
 

Heeee!!!! Haya makubwa
 

Hii imekaa kishirikina zaidi, au siyo????/
 
Bacha, sayansi hizo za mababu. Ingekuwa ni ushirikina ungesikia habari za njiwa mweupe hapo
hii imekaa kishirikina zaidi, au siyo????/

 
Ukilikata nayenyewe ikakatika??nakupataje maana tumekuta JF!!Mwongozo tafadhali!
 
hahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa< tehetehetehe............................., hadi copyuta haitaki vibamia, sasa wenye vibamia kwishney, itafikia hadi mikona nayo inakataa vibamia wakati wa m********B*********N
hahahahahahahahahahahahaha ferds umenifanya nicheke mpka basi sina mbavu jamani uuuuuuuwi mbavu zangu
 
Kaka Kiiza ukilikata haikatiki,maana ya kulikata ni kwamba umeridhika na ile size ili isiendelee kukua shauri yako ukiliacha maana si unalijua dodoki lilivyo!Wala hakuna ndumba hapo!
 
Bacha si kila dawa ya asili ni ushirikina: Kwanza ujue kwamba hakuna kitu ushirikina ila hao wadhungu wako ndio walio tulet down,ukihara siku moja kunywa maji ya madafu hiyo ni drip original,ukishikwa na upele au fangas kaogelee baharini kama masaa mawili hivi(siku moja nilienda Mnazi mmoja hosptl hapo DSM kuriport fangas waliokuwa wananisumbua Dr akanipa vidonge 30 nimeze kimoja kwa siku kama vile vya kuzuia mimba nikachomoa nikaenda pale Mikadi Beach Kigamboni nikakata mawimbi baada yahapo fangas kwisha kabisa).Hao wadosi wanamodify tu mitishamba yetu.Fuatilia habari za shubiri ilivyopata umaarufu(aloe) bibi alikuwa ananiogeshea ile kuna watu tunaishi miaka mitatu, minne hakuna malaria wala mafua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…