Komredi Kawaida Awasili Karimjee Hall, Mahafali ya Seneti Mkoa wa Dar es Salaam

Komredi Kawaida Awasili Karimjee Hall, Mahafali ya Seneti Mkoa wa Dar es Salaam

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

🌍KOMREDI KAWAIDA AWASILI KARIMJEE HALL, MAHAFALI YA SENETI DAR ES SALAAM

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Komredi Mohammed Ali Kawaida (MCC) amewasili Karimjee Hall ambapo anashiriki Mahafali ya Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu UVCCM Mkoa wa Dar es Salaam tarehe 16 Juni, 2024.

Komredi Kawaida ameambatana na Katibu wa Idara ya Mahusiano ya Kimataifa Vyuo na Vyuo Vikuu Komredi Emanuel Martine pamoja na Maafisa wa UVCCM Makao Makuu.

#SautiYaVijana
#KulindaNaKujengaUjamaa
#TunaendeleaNaMama
#Kaziiendelee

Imetolewa na:
Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM-Taifa

WhatsApp Image 2024-06-16 at 13.38.39.jpeg
WhatsApp Image 2024-06-16 at 13.38.41.jpeg
WhatsApp Image 2024-06-16 at 13.38.42.jpeg
WhatsApp Image 2024-06-16 at 13.38.44.jpeg
WhatsApp Image 2024-06-16 at 13.38.46.jpeg
 

🌍KOMREDI KAWAIDA AWASILI KARIMJEE HALL, MAHAFALI YA SENETI DAR ES SALAAM

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Komredi Mohammed Ali Kawaida (MCC) amewasili Karimjee Hall ambapo anashiriki Mahafali ya Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu UVCCM Mkoa wa Dar es Salaam tarehe 16 Juni, 2024.

Komredi Kawaida ameambatana na Katibu wa Idara ya Mahusiano ya Kimataifa Vyuo na Vyuo Vikuu Komredi Emanuel Martine pamoja na Maafisa wa UVCCM Makao Makuu.

#SautiYaVijana
#KulindaNaKujengaUjamaa
#TunaendeleaNaMama
#Kaziiendelee

Imetolewa na:
Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM-Taifa
Mnampaisha tuu ila Hana hoja ,
 
Wamefanyia mahafali ya chama ndani ya chuo?
 
Back
Top Bottom