Pre GE2025 Komredi Kinana: Chadema, Bavicha, Bazecha na Bawacha wote walipeleka Maoni yao bungeni kuhusu Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi, mchawi wanaye Wenyewe!

Pre GE2025 Komredi Kinana: Chadema, Bavicha, Bazecha na Bawacha wote walipeleka Maoni yao bungeni kuhusu Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi, mchawi wanaye Wenyewe!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Inadaiwa kitetesi kuwa kamati Kuu ya Chadema itajadili Maoni ya makamu Mwenyekiti wa CCM komredi Kinana Wakati wowote kuanzia sasa kuhusu Tume Huru ya Uchaguzi

Kwa sasa kila taasisi yaani Mnyika, Bawacha, Bavicha na Bazecha wamejifungia kivyao wakiyapitia mapendekezo waliyoyawasilisha kwenye Kamati ya Bunge

Tutazidi kufahamishana

Ahsanteni 🐼
 
Mna hofu hapo Lumumba?

Niwadokeze tu...jichimbieni chini kama Muhanga maana Makombora yatayofyatuliwa ni Mtafutano

Kwa mama Mgaya kwenye ulanzi na kibaridi cha Iringa kimeanza
 
Bahati mbaya sana mzee Kinana hakuweza kujiba hoja yoyote zaidi ya kurudia yanayofahamika, na kuleta kauli zenye utata zinazoibua maswali mengine mengi. Kutoka kwenye kauli zake zenye utata, ametengeneza ajenda za watu kumwonesha ama asivyojua au alivyojitoa ufahamu kwaajili ya kutetea mambo ambayo hayapo sawa.

Majibu atakayopewa sasa, atajilaumu kwa nini alisema aliyoyasema.

Hoja za msingi:

1) Katiba yetu ni mbovu, na hilo linafahamika kwa miaka mingi. Wananchi walikwishamaliza kutoa maoni yao kupitia tume yenye weledi ya Warioba. Kuunda vitume vingine visivyoeleweka ni ujinga na uhayawani wa hali ya juu, na ni mbinu chafu za kuchelewesha wananchi wanachokitaka. Tume ya Jaji Warioba ilifanya kazi kubwa sana ikichukua sample population kubwa sana.

2) Tunahitaji tume huru ya uchaguzi, siyo tume kiinimacho. Haiwezekani Rais watu wanaopendekeza majina ya viongpzi wa Tume yatoke kwa watu ambao ni wateule wa Rais. Kama Rais ndiye atakayefanya uteuzi wa mwisho, ni lazima wanaopendekeza majina wawe ni. Watu huru ambao hawapo kwenye mongwa la Rais. Yaliyofanyika ni usanii na kuwafanya Watanzania ni wajinga.

3) Muungano wa watu wawili hauwezi kuendelea kuwa muungano kama walioungana, mmoja anaishi na mwingine ameuawa. Bunge la mwaka 1993 liliazimia kuwe na Serikali 3. Kupitia tume ya Warioba wananchi wakasema wanataka serikali 3. Ninyi akina Kinana ni viziwi au wanafiki kiasi cha kutotambua matakwa ya umma wala kujua mantiki ya kuungana? Wananchi tuongeze moto wa kutaka muundo mzuri wa Muungano, mpaka hawa waziba masikio wasikie.

4) Haiwezekani Tanganyika iuawe, Zanzibar iishi, halafu Wazanzibari ambao kwao Mtanganyika haruhusiwi kumiliki hata robo ekari, wawe wanagawa hovyo rasilimali za Tanganyika. Ugawaji wa bandari za Tanganyika, mbuga za wanyama na hifadhi za misitu kwa Waarabu, ni ubatili na ushetani wa hali ya jui dhidi ya Watanganyika.
 
Bahati mbaya sana mzee Kinana hakuweza kujiba hoja yoyote zaidi ya kurudia yanayofahamika, na kuleta kauli zenye utata zinazoibua maswali mengine mengi. Kutoka kwenye kauli zake zenye utata, ametengeneza ajenda za watu kumwonesha ama asivyojua au alivyojitoa ufahamu kwaajili ya kutetea mambo ambayo hayapo sawa.

Majibu atakayopewa sasa, atajilaumu kwa nini alisema aliyoyasema.

Hoja za msingi:

1) Katiba yetu ni mbovu, na hilo linafahamika kwa miaka mingi. Wananchi walikwishamaliza kutoa maoni yao kupitia tume yenye weledi ya Warioba. Kuunda vitume vingine visivyoeleweka ni ujinga na uhayawani wa hali ya juu, na ni mbinu chafu za kuchelewesha wananchi wanachokitaka. Tume ya Jaji Warioba ilifanya kazi kubwa sana ikichukua sample population kubwa sana.

2) Tunahitaji tume huru ya uchaguzi, siyo tume kiinimacho. Haiwezekani Rais watu wanaopendekeza majina ya viongpzi wa Tume yatoke kwa watu ambao ni wateule wa Rais. Kama Rais ndiye atakayefanya uteuzi wa mwisho, ni lazima wanaopendekeza majina wawe ni. Watu huru ambao hawapo kwenye mongwa la Rais. Yaliyofanyika ni usanii na kuwafanya Watanzania ni wajinga.

3) Muungano wa watu wawili hauwezi kuendelea kuwa muungano kama walioungana, mmoja anaishi na mwingine ameuawa. Bunge la mwaka 1993 liliazimia kuwe na Serikali 3. Kupitia tume ya Warioba wananchi wakasema wanataka serikali 3. Ninyi akina Kinana ni viziwi au wanafiki kiasi cha kutotambua matakwa ya umma wala kujua mantiki ya kuungana? Wananchi tuongeze moto wa kutaka muundo mzuri wa Muungano, mpaka hawa waziba masikio wasikie.

4) Haiwezekani Tanganyika iuawe, Zanzibar iishi, halafu Wazanzibari ambao kwao Mtanganyika haruhusiwi kumiliki hata robo ekari, wawe wanagawa hovyo rasilimali za Tanganyika. Ugawaji wa bandari za Tanganyika, mbuga za wanyama na hifadhi za misitu kwa Waarabu, ni ubatili na ushetani wa hali ya jui dhidi ya Watanganyika.
kinana a very sr politicians of the day,
can never ever walk into a trap by mercenaries and puppets 🐒

lazima atakuboa tu ili sasa ubabaike na kutafuta cha kumjibu yeye, and that is a trap chadema is going into bila wasiwasi muda ujao mfupi 🐒

This is politics bana...
 
Back
Top Bottom