Babe la mji
JF-Expert Member
- Dec 14, 2019
- 983
- 2,058
Hii ndo nzur
Naikubali San hii mikandaHizi suruali kama hujaanza kuvaa zitafute utanishukuruView attachment 2223970
Unauzaje hiyo one Africa wewe panya road..?Nzuri sn
Dukani[emoji116]View attachment 2221963View attachment 2221965
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
nawewe umeiona kumbe, yamoto sana hiyo blackUnauzaje hiyo one Africa wewe panya road..?
Asee hii nilipiga picha Tu wakati tumeenda kukichafua mitaa Ile..Ila ukiwa na 15k nakuletea Hadi homeUnauzaje hiyo one Africa wewe panya road..?
Sikai dar tatizo..😀Asee hii nilipiga picha Tu wakati tumeenda kukichafua mitaa Ile..Ila ukiwa na 15k nakuletea Hadi home
Unatumiwa Kwa gari..au mwambie Yule demu wako wa Jf aje kukuchukuliaSikai dar tatizo..😀
Aisee!.. Nani huyo mkuu..?😂Unatumiwa Kwa gari..au mwambie Yule demu wako wa Jf aje kukuchukulia
Mkuu usinitafutie ubaya nikachambwa..we mtag tu mwenyewe aje agate mzigo km utalipia😅Aisee!.. Nani huyo mkuu..?😂
Zero IQHizi suruali kama hujaanza kuvaa zitafute utanishukuruView attachment 2223970
Hii jeans 👖 mkuu nipe taarifa zake inbox, zinapatikana wapi 38size
Mtag tu..Mkuu usinitafutie ubaya nikachambwa..we mtag tu mwenyewe aje agate mzigo km utalipia😅
Tafuta kariakoo zipo Kaka Kam upo Dar nkupe namb y jamaa angu ni dalali/winga atakuleteaWapi hii
Ni PM basiTafuta kariakoo zipo Kaka Kam upo Dar nkupe namb y jamaa angu ni dalali/winga atakuletea
[emoji28] [emoji28] [emoji28]Wengine tunaponeaga uniform za job hadi Church