fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Nunua hata basikeli.Uzi hauna wachqngiaji. JF mimi na wewe tu ndio hatuna gari. Mimi huwa najikausha.
Nikajijua ni mimi tukuwa mkweli mm huwaga navunga sina hata niwe na chenji sehemu ya mia 6 natoa hata buku ili mradi nieudshiwe tu mia tano yangu
Mh! Kumbe na wewe huna gari?kuwa mkweli mm huwaga navunga sina hata niwe na chenji sehemu ya mia 6 natoa hata buku ili mradi nieudshiwe tu mia tano yangu
Kabisa...Hakuna watu waaminifu hapa duniani kama makonda(mtazamo wangu).
nilikua nalo ilq nimeibiwa gari yangu mkuu 🥲🥲Mh! Kumbe na wewe huna gari?
mme nisahau raisi wa ma jobless pro max, mimi huwa. Navunga.Uzi hauna wachqngiaji. JF mimi na wewe tu ndio hatuna gari. Mimi huwa najikausha.
Mabashite...Kuwa mkweli mm huwaga navunga sina hata niwe na chenji sehemu ya mia 6 natoa hata buku ili mradi nirudishiwe tu mia tano yangu