Kondom kinga.....

Kondom kinga.....

Engager

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
1,522
Reaction score
3,255
Jamani kondom si nikinga dhid ya mambo yetu yale? Kitu ambacho huwa kinanshangaza mimi ni kwanini mtu akionekana ana kondom ama kaishika ama akaidondosha mbele za watu, watu wanamshangaa sana utafikiri na ktu kgeni sana wakati wengi wetu tunavtumia vitu hivi mara kwa mara tu?
 
hahaha.. ni sawa na binti unapoolewa ukipata mimba unaogopa
kwenda salimia maana ina prove kua you are really doing it!

But ni kasumba tu mbovu ila naona inapungua na watu kabadilika
maana nime observe wakaka wengi wanabeba kwenye wallets as well
as wadada... ingawa zinakaa kama accessories hazitumiki...
 
Jamani kondom si nikinga dhid ya mambo yetu yale? Kitu ambacho huwa kinanshangaza mimi ni kwanini mtu akionekana ana kondom ama kaishika ama akaidondosha mbele za watu, watu wanamshangaa sana utafikiri na ktu kgeni sana wakati wengi wetu tunavtumia vitu hivi mara kwa mara tu?


Ndio ni kinga ila inatakiw aiwe sirini maana inakotumika huwa hakuonekani ndo maana ukiidondosha watu wanakushangaa unatoaje kitu cha sirini hadharani
Ni kama kudondosha chu*** mbele ya kadamnasi kila mtu anajulikana anavaaa hiyo kitu wether boxer au chu**** yenyewe ila ukiidondosha ni kitu cha ajabu sana
 
kwa sababu wanajua unakwenda kufanya ngono na ngono wengi tunachukulia ni tendo la siri...kwa hyo lazma wakushangae
 
Hahahahha lol
kuna nchi fulani niliendaga
mmhh wanazigawa shuleni
kwa kila mtoto mwenye miaka 17
nakuendelea.. teenager kuanzia miaka 15 mwenye bf/gf mzazi
anamnunulia.. ukienda clubin
unazitoa tu kwenye vending machine kwa $1 tu.....

kwa binafsi sintomshangaa nikimwona mtu kabeba kwanza
ntamokotea akidondosha mmmmhh
 
Nakumbuka nikiwa form2 dokta mmoja alipita kwenye gari kjjn kwetu anazgawa. Kati ya wengi walio chukua alikuwepo pia mzee mmoja, old enough around 85 years alipewa. Ila mimi nikanyimwa. Does ths make sense?
 
Watu wanachukulia tendo zima la ngono ni aibu ndio maana wengi wetu wanafanya huku taa wamezima, wengine wamefumba macho
 
Watu wanachukulia tendo zima la ngono ni aibu ndio maana wengi wetu wanafanya huku taa wamezima, wengine wamefumba macho

Naona ni kutokuelewa tu!
ni kama walokole na mnywa pombe
 
Mara nyingi hutumika kwa "shughuli ya ukingaji",ni nadra sana kwa wanandoa kutumia, kwa hivyo hata ukiwa mtu mzima huonekana wewe unaenda kucheza 'AWAY' game, ndo hapo macho yoote waaahhh
 
hahaha.. ni sawa na binti unapoolewa ukipata mimba unaogopa
kwenda salimia maana ina prove kua you are really doing it!

But ni kasumba tu mbovu ila naona inapungua na watu kabadilika
maana nime observe wakaka wengi wanabeba kwenye wallets as well
as wadada... ingawa zinakaa kama accessories hazitumiki...

unajua this is funny. umeolewa halafu unaficha mimba!!! halafu ficha yenyewe bac, unaiwekea kanga! nani mwinginew anawekaga kanga toka begani kushuka tumboni kama c mja mzito? sielewagi ni kuficha au kutangaza...

enhe na condoms zinazokaa kama accessories halafu hazitumiki ndo nini? sasa kwa nini ziwepo kama hazitumiki?
 
Mara nyingi hutumika kwa "shughuli ya ukingaji",ni nadra sana kwa wanandoa kutumia, kwa hivyo hata ukiwa mtu mzima huonekana wewe unaenda kucheza 'AWAY' game, ndo hapo macho yoote waaahhh

nakubaliana nawe kuhusu kutumika kwa nadra kwa condoms kwa wanandoa. ndo maana hata ukienda kununua dukani, na bahari mbaya wauzaji wengi madukani ni wadada, akikuona na pete yako anakuwa na mshangao fulani hizi usoni, like u r going to cheat your marriage!!!
 
Watu wanachukulia tendo zima la ngono ni aibu ndio maana wengi wetu wanafanya huku taa wamezima, wengine wamefumba macho

alaaa, kumbe wale wanaofunga macho ukiwazimia taa ... watayafungua!!!!
 
Ukidondosha wana kushangaa kwa sababu condom sio balooon ya kupapia kwenye ukumbi wa sherehe.:car:
 
Ni sawa na kutembea na nguo ya ndani barabarani, si kila mtu atakushangaa?
 
kwa sababu wanajua unakwenda kufanya ngono na ngono wengi tunachukulia ni tendo la siri...kwa hyo lazma wakushangae

Kondom siyo kinga! Kinga ni kuacha maana sisi hatujui kuzitumia kwa umakini! Unavaa sehemu haina mchubuki lakini sehemu zenye vipele unaziacha zinagusana na majimaji! Tupeane pole lakini nimegundua maambukizi tunayapatia sehemu nyingine kabisa. Au siyo wajameni masharobaro mnaopenda mnato? Unatoka umetapakaa maji kila sehemu halafu eti umetumia condom?! Ee Mungu ni wewe pekee uwezaye kutulinda maana kwa ujanja wetu mimi tayari nilishakata tamaa !
 
Back
Top Bottom