KONDOM

Joined
Mar 10, 2017
Posts
45
Reaction score
25
Wana jamii forum naombeni msaada mi nikilala na mwanamke nikitumia mpira/kondom nakuwa napata shida sana wakati kitendo kinaendelea
Huwa najisikia mwili/uboo una banwa sana na ninashindwa kukojoa, nakuwa natumia nguvu nyingi kukojoa hali amabyo magor mawili nakuwa hoi.
Ushauri wenu nitumie aina gani ya mpira amabo haubani sana?, ama nifanyeje? Maana haka kamchezo kazuri kweli
 
Acha zinaa Mkuu.

ARVs ni tatizo siku hizi
 
Mkuu kwani condom za kike si zipo? Hao unaoshiriki nao hakikisha wanatumia ili uone kama nazo zitakupa matokeo sawa.
NB: magonjwa ni mengi mkuu. Tulizana.
 
Tumia mpira ulotumika kwenye finali ya UEFA 2017
Ukiwa unaumia bado tumia ule wa EPL ulioipa Chelsea ubingwa
ikishindikana kabisa Usitumie sasa, make hii mipira ya Simba na Yanga si mizuri mkuu.

Mi natumia Rough Rider mzuri huooooo .
Hahaa
 
Njoo huku kwa mizengo tulime kilimo cha mapapai. Achana na ishu za kutombana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…