CMT Senior Member Joined Apr 29, 2016 Posts 172 Reaction score 87 Jul 1, 2017 #21 Eeeh hako kamchezo kila mtu anakapenda, ''nanukuu''
happymwashi JF-Expert Member Joined Oct 16, 2015 Posts 980 Reaction score 846 Jul 1, 2017 #22 Vaa Marlboro
Mgodo visa JF-Expert Member Joined Nov 1, 2016 Posts 3,590 Reaction score 3,632 Jul 1, 2017 #23 ElviceJunior said: Tumia mpira ulotumika kwenye finali ya UEFA 2017 Ukiwa unaumia bado tumia ule wa EPL ulioipa Chelsea ubingwa ikishindikana kabisa Usitumie sasa, make hii mipira ya Simba na Yanga si mizuri mkuu. Mi natumia Rough Rider mzuri huooooo . Click to expand... Mkuu umenikumbusha Mpira uliotumika kwa Madiba JABULANI...!! Lengo lilikuwa wahusika wafunge MAGOLI MENGI iwezekanavyo....!! Kuwa na Mpenzi mmoja...hutahitaji KONDOM..
ElviceJunior said: Tumia mpira ulotumika kwenye finali ya UEFA 2017 Ukiwa unaumia bado tumia ule wa EPL ulioipa Chelsea ubingwa ikishindikana kabisa Usitumie sasa, make hii mipira ya Simba na Yanga si mizuri mkuu. Mi natumia Rough Rider mzuri huooooo . Click to expand... Mkuu umenikumbusha Mpira uliotumika kwa Madiba JABULANI...!! Lengo lilikuwa wahusika wafunge MAGOLI MENGI iwezekanavyo....!! Kuwa na Mpenzi mmoja...hutahitaji KONDOM..