Kondomu inayotambua maambukizi ya Zinaa yagunduliwa

Kwahiyo Kama Ni Usiku Inakuwaje Sasa! Unachomoa Then Unaicheq Kama Imebadilika?
Nakama Imebadilika Utaahrisha! Wakat Hiyo Ndiyo Kinga Ya Kukukinga Na Magonjwa Kama Hayo!


Sion Umuhum Wa Hizo Condom
 
Kwahiyo Kama Ni Usiku Inakuwaje Sasa! Unachomoa Then Unaicheq Kama Imebadilika?
Nakama Imebadilika Utaahrisha! Wakat Hiyo Ndiyo Kinga Ya Kukukinga Na Magonjwa Kama Hayo!


Sion Umhum Wa Hizo Condom
 
Kwani unafanya mapenzi gizani kama ana hayo maradhi zinabadilika rangi
 
Ikibadilika rangi unajua anayo hiyo pia inamsaidia demu wako kujua ni mgonjwa lakini hauachi kufanya unaendelea tu kwa inazuia wewe kuambukizwa
 
Sasa sisi tuliozoea kufanya mapenzi gizani itakuwaje. Utaonaje kama rangi imebadilika?
 
Sasa watu waajabu kwel, nivibaya kujua? si ndo utakua makini unapobadilisha ili usijigusishe, pia unaweza ahirisha, ukiona sipro na dox hazinashida kwako kuzimeza hata kondom usitumie nenda kavu
 
Daah iyo unakuta demu ndo kasema yy bikra then unaweka tuu kondom charge colour tp positive uyo lazima achezeee mbatta za maana ka jambazi aliyetaka kukuthuru umemtime
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…