Habari wakubwa,
Nimekuja kwenu nipate ushauri, maana kichwa kinawaka moto.
Mimi ni mtumiaji wa kondomu miaka 6 sasa sijapiga dry.
Jana nilikuwa nasex na bidada nikiwa na kondomu zangu 3 mpyaa (DUME).
Mwanzo mpaka mwisho kondomu ilikuwa uumeni mpaka nakojoa, (nilitumia kondomu 3 ya mwisho ndio niliyopigia bao) nikaihifadhi mahala karibu na choo ili asubuhi nikaitupe maana choo ni cha kuflush, zitakwama.
Asubuhi nikaziendea ili nikazitupe nikapata udadisi kujua kama zilifanya kazi sahihi, maana niliona shahawa zinavuja!
Nilitia maji ndani ya kondomu 2 zilikuwa intact, ila moja ilitoa maji katika kitundu ukubwa wa pini, nilihamaki sana!
Mpaka sasa sijui kama wadudu washapenya au la!
Sielewi bandugu!
Nimekuja kwenu nipate ushauri, maana kichwa kinawaka moto.
Mimi ni mtumiaji wa kondomu miaka 6 sasa sijapiga dry.
Jana nilikuwa nasex na bidada nikiwa na kondomu zangu 3 mpyaa (DUME).
Mwanzo mpaka mwisho kondomu ilikuwa uumeni mpaka nakojoa, (nilitumia kondomu 3 ya mwisho ndio niliyopigia bao) nikaihifadhi mahala karibu na choo ili asubuhi nikaitupe maana choo ni cha kuflush, zitakwama.
Asubuhi nikaziendea ili nikazitupe nikapata udadisi kujua kama zilifanya kazi sahihi, maana niliona shahawa zinavuja!
Nilitia maji ndani ya kondomu 2 zilikuwa intact, ila moja ilitoa maji katika kitundu ukubwa wa pini, nilihamaki sana!
Mpaka sasa sijui kama wadudu washapenya au la!
Sielewi bandugu!