Kondomu za bure kwenye ofisi za umma zinachochea ngono

Kondomu za bure kwenye ofisi za umma zinachochea ngono

Tulimumu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
14,409
Reaction score
13,262
Ukitembelea ofisi nyingi za umma ukaingia vyooni utakuta box la kondom za bure limewekwa ukutani kwaajili ya wanaohitaji kuzitumia kufanya ngono kama ambavyo unaweza kukuta katika mabaa na nyumba za kulala wageni.

Sasa unaweza kujiuliza kwamba hivi humu maofisini watu pamoja na kazi wanafanya ngono pia kama kazi na dawa au wanaenda nazo nyumbani?

Kama ni kumalizana humo humo maofisini basi wake, waume za watu na watoto wa watu usalama wao ni mdogo sana.

Nafikiri ingefaa kuwa ni moja ya makosa makubwa sana ya kumfukuzisha mtu kazi endapo atatumia ofisi za umma kufanya ngono badala ya kazi.

Maoni yangu. Au nasema uwongo ndugu zanguni? Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu.

IMG_20220610_091843_966.jpg
 
Mtumishi ni mtu mzima, anajua nini anafanya na hizi Condom Dispenser zina Condom za kuhudumia hata clients wanaoenda kupata hudumu kwenye ofisi za Umma sio kwa watumishi tu.

Kwani elimu ya uzazi si hufundishwa hata primary schools?
 
Ukitembelea ofisi nyingi za umma ukaingia vyooni utakuta box la kondom za bure limewekwa ukutani kwaajili ya wanaohitaji kuzitumia kufanya ngono kama ambavyo unaweza kukuta katika mabaa na nyumba za kulala wageni.

Sasa unaweza kujiuliza kwamba hivi humu maofisini watu pamoja na kazi wanafanya ngono pia kama kazi na dawa au wanaenda nazo nyumbani?

Kama ni kumalizana humo humo maofisini basi wake, waume za watu na watoto wa watu usalama wao ni mdogo sana.

Nafikiri ingefaa kuwa ni moja ya makosa makubwa sana ya kumfukuzisha mtu kazi endapo atatumia ofisi za umma kufanya ngono badala ya kazi.

Maoni yangu. Au nasema uwongo ndugu zanguni? Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu.

View attachment 2256086
Byege zipo kushinda kunywa dawa vaa condom inahamasisha ??
Acha zako
 
Ukitembelea ofisi nyingi za umma ukaingia vyooni utakuta box la kondom za bure limewekwa ukutani kwaajili ya wanaohitaji kuzitumia kufanya ngono kama ambavyo unaweza kukuta katika mabaa na nyumba za kulala wageni.

Sasa unaweza kujiuliza kwamba hivi humu maofisini watu pamoja na kazi wanafanya ngono pia kama kazi na dawa au wanaenda nazo nyumbani?

Kama ni kumalizana humo humo maofisini basi wake, waume za watu na watoto wa watu usalama wao ni mdogo sana.

Nafikiri ingefaa kuwa ni moja ya makosa makubwa sana ya kumfukuzisha mtu kazi endapo atatumia ofisi za umma kufanya ngono badala ya kazi.

Maoni yangu. Au nasema uwongo ndugu zanguni? Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu.

View attachment 2256086
Maadili yanakongolewa kwa mgongo wa misaada
 
Sasa hizo Kondom zipo wapi kwenye Hilo boksi?? Wameweka dawa za harufu za chooni ilhali Tangazo linajieleza wazi

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Soma vuzuri huyo aliweka hizo dawa za harufu kakosea ndiyo maana wakaweka hilo tangazo ili watu wasiweke vitu tofauti na kondom
 

Mumo Kwa Mumo

By Suleiman Jaffo Wa Kisarawe Tanzania

 
Ukitembelea ofisi nyingi za umma ukaingia vyooni utakuta box la kondom za bure limewekwa ukutani kwaajili ya wanaohitaji kuzitumia kufanya ngono kama ambavyo unaweza kukuta katika mabaa na nyumba za kulala wageni.

Sasa unaweza kujiuliza kwamba hivi humu maofisini watu pamoja na kazi wanafanya ngono pia kama kazi na dawa au wanaenda nazo nyumbani?

Kama ni kumalizana humo humo maofisini basi wake, waume za watu na watoto wa watu usalama wao ni mdogo sana.

Nafikiri ingefaa kuwa ni moja ya makosa makubwa sana ya kumfukuzisha mtu kazi endapo atatumia ofisi za umma kufanya ngono badala ya kazi.

Maoni yangu. Au nasema uwongo ndugu zanguni? Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu.

View attachment 2256086
Nimekuelewa sana mkuu ofisi za umma kutumika kujamiiana ni kosa kama kuzitumia kufanyia biashara za madawa ya kulevya. Jambo hili ni hatari kwa familia. Mada yako ni njema sema imeangukia kuti kavu.
 
Hao mademu wanaoingia oficin na vimini unategemea Nini kama mshipa ukisimama ,Mimi tu nikiwaona mb .oo inasimama wima jiulize walio nao oficin huko kama sio kupandisha hicho ki skirt na kuchomeka ukuni ...!
 
Back
Top Bottom