Kondomu zinawaumizaga,ukimwi utaisha?

Kondomu zinawaumizaga,ukimwi utaisha?

Future president

Senior Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
144
Reaction score
39
Kwa experience yangu ndogo na research yangu ambayo nimewakilisha sample ndogo ya jinsi ya kiume na kike,sample ilikuwa na total ya watu 20, kike 10 na kiume 10,nikagundua asilimia kubwa ya wanawake huwa hawaenjoy na matumizi ya kondom wakidai zinawaumiza na kuwaletea michubuko na fungus,ila wanaume wanasema wao wanaenjoy vyovyote vile,ila isipokuwa wanaume wawili tu walipinga wote matumizi haya,je ukimwi utaisha?epuka michepuko
 
Yap hii muhimu,they havr to agree ...uses of condoms z more important
 
Dini yangu hiniruhusu kuzini au kuua sasa kwanini nifanye dhambi mbili bora kuzini kuliko kutumia condom nikaua watoto furthermore condom hua inanibana
 
dini yangu hiniruhusu kuzini au kuua sasa kwanini nifanye dhambi mbili bora kuzini kuliko kutumia condom nikaua watoto furthermore condom hua inanibana

promo!
 
Dini yangu hiniruhusu kuzini au kuua sasa kwanini nifanye dhambi mbili bora kuzini kuliko kutumia condom nikaua watoto furthermore condom hua inanibana

hehehee. am speechless
 
Kwa experience yangu ndogo na research yangu ambayo nimewakilisha sample ndogo ya jinsi ya kiume na kike,sample ilikuwa na total ya watu 20, kike 10 na kiume 10,nikagundua asilimia kubwa ya wanawake huwa hawaenjoy na matumizi ya kondom wakidai zinawaumiza na kuwaletea michubuko na fungus,ila wanaume wanasema wao wanaenjoy vyovyote vile,ila isipokuwa wanaume wawili tu walipinga wote matumizi haya,je ukimwi utaisha?epuka michepuko

kwakweli kazi ipo. most of girls hawapendi kondom
 
Dini yangu hiniruhusu kuzini au kuua sasa kwanini nifanye dhambi mbili bora kuzini kuliko kutumia condom nikaua watoto furthermore condom hua inanibana
Hahahahahhhah wee noma unajipa promo
 
Some condoms taste and feel so good.

I woukd eat a studded strawberry condom whole.


Quality matters, thats why I carry my own.


Bad bad Karucee.
 
Back
Top Bottom