Kondoo wa Maziwa

Kondoo wa Maziwa

SEMKUNGA

Member
Joined
Sep 8, 2013
Posts
63
Reaction score
5
Wakuu,nimefikiria juu ya wanyama wanaofugwa kwa ajili ya nyama na maziwa. Sijawahi kusikia kuhusu kondoo wa maziwa. Lakini wapo mbuzi wa maziwa na ng'ombe wa maziwa. Maziwa ya kondoo yana shida gani? Naomba kujuzwa
 
Wapo ila kwa Tanzania sijawaona ila kwa Kenya kuna aina fulana ya Kondoo niliona ni ya kutoka South Africa ni wazuri sana
 
Back
Top Bottom