Kongamano la akina Butiku na wenzie - kijiwe cha malalamiko

kwa matusi haya nani atawapa hela, JK hawezi kuwapa hela watu ambao anahisi bado wanakitaka cheo chake
 
kwa matusi haya nani atawapa hela, JK hawezi kuwapa hela watu ambao anahisi bado wanakitaka cheo chake
Alianza kuwanyima Mkapa kwakuwa walionyesha kupendelea aina fulani ya watu badala ya kuwa neutral nafikiri waangalie the "what foundation wants to achieve" siyo siasa ambayo ingefanywa vizuri na wanasiasa wetu wa vyama vya upinzani..
 
tell it to the birds!


tujadili waliyosema sio waliosema >> naona kama una fallacy ya logic>> hukubaliani na hoja sio kwa sababu ya ubayay wa hoja bali unaangalia aliyesema> mbona hatat viongozi wa dini walichangia na wao hawaridhiki na jk je nao wana chuki au?
 
Ndg Maligwe-Umeinga mtandaoni Nov-2009 kwA kutumwa na mafisadi?
Kawambie walikutuma ujumbe na mawazo yako ni finyu unalipwa....?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…