Kongamano la Katiba mpya lafanyika Tarime kwa amani na utulivu

Yaani ule uhuni aliyofanya Magufuli na vikaragosi vyake ndio unaita uchaguzi na ndio mnauchukulia kama kipimo cha kukubalika, ngojeni Mungu aitwe Mungu kwani kazi yake haina makosa.
 
Yaani ule uhuni aliyofanya Magufuli na vikaragosi vyake ndio unaita uchaguzi na ndio mnauchukulia kama kipimo cha kukubalika, ngojeni Mungu aitwe Mungu kwani kazi yake haina makosa.
Kazi ya Mungu haina makosa ndiyo maana ameniruhusu Mbowe awe gerezani kwa ugaidi aliofanya.
 
Hawa makamanda Mungu awape Kheri maishani
 
Hamza kada wa ccm polisi wamethibitisha pasi na shaka alikuwa Gaidi
Hamza amepata stahiki yake na Mbowe akipata stahiki yake ya miaka 30 jela itakuwa safi. Maendeleo hayana vyama na ugaidi hauna vyama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…