Kongamano la katiba mpya Tanzania 2011

Watakuja usalama wengi sana mamluki kuja kudodosa kinachoongelewa...hapo ndipo pazuri sana maana feedback itafika kama ilivyo labda itasaidiaa uchemfu wake wa kulazimisha kuunda tume badala kongamano la kitaifa la katiba!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…