kongamano la katiba UDSM Lahujumiwa

Naamini waislam wengi Tanzania haijui vizuri dini yao. Pengine kwa kuwa koran imeendelea kuwa ktk lugha ya kiarabu. Wengi wanategemea tafsiri toka kwa maimam na mashehk nk hata kama ni potofu. Mimi naona waislam siyo tatizo hawezi kuyumbisha nchi kwani hata wao kwa wao hawana umoja. Rejea migogoro ya mara kwa mara misikitini, wakati wa kwenda hija, wengine haitambui BAKWATA, mfuti nk.
 
This is just propaganda of Mr JK himself together with his associates. This is a big shame and they need to realise this. As as long as I remember Mkapa's era also faced a lot of opposition but I think the difference is he was at least capable of dealing with them in argumentative way.

This is a simple 'Divide and Rule' policy from the government. Let me warn you though, I believe your not that ignorant to forget what happened to Rwanda and Nigeria. Rwandan selfish hutu leaders sparked division and hate against the Tutsi so they can govern smoothly.

In Nigeria what happened between southern and northern sides? Just like Rwanda, here they used the system the 'hate system'. Here they used Religion instead together with tribal issues. When northerners started sharia laws was just a way of dividing themselves from a government led by a born again christian Obasanjo.

I see the same here. Whenever you are against the government policies, you are against Islam. This is so wrong, we are just dealing with JK as a person here you guys.

I hope we are not heading there
 
Acha woga wewe mbona media zote ni vikaragosi vya kanisa, sorry Chadema.! Samahani wapendwa siku hizi siwezi kutofautosha kabisa Church na CDM maana mitizamo yao inafana! CDM was born and raised in CHURCH!
 
Hizi nidalili za anguko la mfumo ulio madarakani ......ukiona serikali iliyopo madarakani imeanza kusimamia vikundi vichache vichache kama msingi wa kuhalalisha utawala wake katika nchi yenye makundi tofauti tofauti ya kijamii huhitaji kushangaa bali kuelewa kuwa hizo ni alama za nyakati zinazo soma anguko la utawala........Huhitaji elimum kubwa kutambua hili, nilisema na nitaendelea kusema Kikwete amekuwa mwasisi wa dhabi hii ya ubaguzi wa kidini na dhabi hii itamtafuna yeye pamoja nachama chake. dhambi hii imewatafuna CUF pamoja na kwamba hawajawahi kuwa na athali kwa taifa isipokuwa ustawi wachamachao utaishia kwenye mipaka yao na hivyo wamejidhibiti vibaya sana kama chama cha siasa kinacho taka kukamata dora......................

Hapa kwa upande wa CCM dhambi inaweza kuleta madhara makubwa sana kwasababu ni chama dora hivyo huduma za kijamii zina weza kuanza kugawiwa kwa misingi ya itikadi za kidini,hapa ndipo taifa linapo weza kuangamia na kuleta madhara makubwa katika nchi yetu. Kama raisi wa nchi Kikwete unahitaki kuacha propaganda na kuasisi mfumo huu mfu kwa malengo ya kisiasa ambayo haya wezi kudumu ........Kama mwenyekiti wa chama uanatakiwa kujua kuwa chama chako kitakufia mikononi mwako kwasababu ya falsafa hii ya udini.

Na pengine ningefurahi sana chamachako kife ili tu badili utawa na kuweka watu makini kuongoza taifa hili lakini ninahofia sana madhara ambayo yana weza kulikumba taifa hili nami nitakuwa mwathilika pamoja na familia yangu.Hivyo ningependa ujivue kuwa mwasisi hii propaganda ya udini kwa ustawi wa nchi yetu.........
 
Waziri mkuu wa Australia alifika hatua akawaambia kuwa Australia ilikuwepo kabla ya wao na aliyelete uhuru wa Australia sio mtu wa Imani iyo. Kwa iyo wakitaka haki,basi waondoke Australia waende huko haki yao ilipo. Tangu hotuba ile wanaImani walikaa kimya,hawakuwahi kudai haki iyo tena. Sijui tuitafute hotuba ile Pinda aende nayo bungen februari.
 
Watu wa Pwani bana, fitna! fitna! fitna! fitna!
Tatizo hawa wenzetu walikimbia umande basi shida tupu, kumuelewesha mtu asiyeenda shule ni kazi sana. Huwa wanapenda sana kutanguliza jazba na lawama kuliko kutumia akili.
 
hakuna hujuma hapo waandishi wa habari wapo wengi sana naamini watagawana mahali pa kwenda. UDSM ni taasisi kubwa na inahashimika sana kita\ifa na kimataifa.
 
Uislam hauna uongozi uloenda shule.Angalia shehe mkuu wao.Yani hawa kila aitwaye imam anweza kutoa tamko.wapo waislam weng tu mtaani wanasema hawaijui Bakwata na wala hawaitambui.kwanini iwe hivyo?tatizo la waislam ni uongozi dhaifu.Pia shule hakuna kichwani.
 
Acha woga wewe mbona media zote ni vikaragosi vya kanisa, sorry Chadema.! Samahani wapendwa siku hizi siwezi kutofautosha kabisa Church na CDM maana mitizamo yao inafana! CDM was born and raised in CHURCH!
wewe una matatizo sana.kama ulifanikiwa kwenda shule walau degree basi ulikuwa unakariri na ilimu ya koran imekuvuruga sana,huna tofaut na imam mkuu wenu.mbona nyie mmekuza cuf na imewashinda.unaongoza kwa udini wewe.Uislam sio elimu bali jazba na kutoa visasi na upendo.tafuteni kwanza maarifa badala ya kukimbili madrasa.endeleeni kulalamika.
 
 

You are real a great thinker mwenye masikio na asikie. Amen
 

Hebu waacheni waislamu wafanye mamabo yao. Kila wanalofanya mnawatafutia sababu.

Hebu niambie watu gani watadivert attention kutoka kongamano la Katiba na kuhamishia katika kongamano la Waislam? Mnawahofia nini hao Waislam, Kwa nini hatujiamini hadi matatizo yetu tunafanya wao ndio mchawi wetu?
 

Acha kujidanganya. Katika hali iliyokuwepo sasa na ukichukulia uanaharakati wa viongozi wa kanisa kwa muda mrefu sasa, hata waislamu weny kuumia na mapungufu ya Kikwete ama CCM kwa sasa wako naye. Mlipoambiwa kuwa wanachokifanya viongozi wa kanisa sio busara mling'ang'ania kulazimisha kuwa ni haki na wajibu wao. Mlishindwa kabisa kufungua vichwa kuona mbali zaidi ya maslahi yenu kisiasa. Wenzenu tuliothubutu kuvunja ukimya na kupinga utamaduni huo uliojengeka nchini kinyume cha taratibu tulizojiwekea kama taifa tuliona haya na mengine mengi mabaya yanakuja. Nashauri kuwa wakati mnapojaribu kuwasihi ama kuwaghilibu Waislamu kutukukumbatia siasa hizi ni wajibu wenu pia kuwaambia viongozi wenu wa dini kuwa inatosha jamani. Busara ni mali kuliko haki ya kujiangamiza....
 
Watu wataenda tu Nkrumah hiyo ya Karimjee sidhani kama watatoka na la msingi kwani wanaongozwa na jazba
 

Kwa mitazamo kama hii bado mnadhani kuwa Waislamu ndio wakorofi na wengine ndio wahanga? Wazee waliposema tusichanganye dini na siasa walijua kuwa kuna vichwa vibovu kama hivi ambavyo hata wakati moto unawaka wao hawataona mantiki ya kutoogelea katika bwawa la petroli.
 
Acha woga wewe mbona media zote ni vikaragosi vya kanisa, sorry Chadema.! Samahani wapendwa siku hizi siwezi kutofautosha kabisa Church na CDM maana mitizamo yao inafana! CDM was born and raised in CHURCH!
hata mimi nashindwa kutofautisha Ubongo wako na kinyesi changu.
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu, katika swala la muhimu kama hili naomba tuache mchezo wa kuigiza, tuache masihara kabisa, naomba tuweke kando tofauti zetu za dini, vyama vya siasa, ukabila na wote tuvae uzalendo. Tusiwe wabinafsi. Maendeleo ya taifa hili yanaazia kwenye mabadiliko ya katiba. Tusifumbane macho.
Mungu ibariki tanzania
 
Nachofurahi,umaskini na effect za katiba mbovu na ufisadi havichagui muislamu au mkristo............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…